Mwijaku kawazidi PhD holders?

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,571
32,229
Mwamba kaporomosha ghorofa Kigamboni na bado endorsement za kutosha tofaut na PhD holder wengi nchini.

NB: Hongera Sana Mwijaku
98637b15412f4ec0bcf99676042812df_416323980_880414556896410_2803661577590185557_n.jpg
 
Mwisho wa siku Kila mtu anachagua kile anachotaka bila kujali elimu yake maana huku mtaani kinachofanyika ni KUTAFUTA HELA na NAMNA YA KUTUMIA, hivyo Kila mtu anaingiza ela ila tunatofautiana vipaumbele na namna ya kuzitumia hela
 
Unapaswa kujua kuna aina tofauti za investment, sio kila mtu ana target ya ku invest kwenye ujenzi wa nyumba

Lakini pia ukubwa wa elimu haifanyi mtu kubwa tajiri, tukiwa na mentality kuwa elimu kubwa ndio kubwa tajiri hili nalo ni tatizo juu ya tatizo. Elimu haifanyi riziki yako ya kipato iwe, msifundishe wangu kuiba
 
Back
Top Bottom