Mwisho wa siku Kila mtu anachagua kile anachotaka bila kujali elimu yake maana huku mtaani kinachofanyika ni KUTAFUTA HELA na NAMNA YA KUTUMIA, hivyo Kila mtu anaingiza ela ila tunatofautiana vipaumbele na namna ya kuzitumia hela
Unapaswa kujua kuna aina tofauti za investment, sio kila mtu ana target ya ku invest kwenye ujenzi wa nyumba
Lakini pia ukubwa wa elimu haifanyi mtu kubwa tajiri, tukiwa na mentality kuwa elimu kubwa ndio kubwa tajiri hili nalo ni tatizo juu ya tatizo. Elimu haifanyi riziki yako ya kipato iwe, msifundishe wangu kuiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.