Mwigulu yuko sahihi ila hatumuelewi tu

Mwigulu yuko sahihi ila hatumuelewi tu

aduwilly

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
1,191
Reaction score
320
Nimekuwa nikufuatilia mijadala/hoja mbalimbali ya/za Mwigulu; nimegundua kwamba jamaa yuko sahihi ila watu wengine ndo huwa hawamwelewi. Nitatoa mifano michache tu.

Namba moja:
Akichangia bungeni hoja ya Rais kuwa mdini, Mwigulu alisema "awamu ya kwanza Tanzania hakukuwa na udini, ikaja awamu ya pili pia hakukuwa na udini, imekuja awamu ya tatu pia hakuna udini, sasa tujiulize mwenye hii awamu ya nne udini nani kauleta?"

Alipofika hapo Tundu lissu alisimama kutaka kutoa hoja na Spika alipomzuia alipinga likazuka zogo then akatolewa nje, hoja ikaisha.

Hapa ni wazi Mwigulu alikuwa anakubaliana na hoja ya Rais kuwa mdini kwani watoa hoja walisema rais wa awamu ya nne ameleta udini.

Namba mbili:
Kwenye kikao cha bunge kilichopita, Mwigulu alikuwa analalamika "hivi mimi jamani nina mkosi kuwa mtanzania? yani kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni anamwomba kamishina wa bunge amtumie tiketi mbunge aliepo ziara ya kiserikali marekani, ili akatishe ziara na badala yake aende Dubai ili akaponde nae raha"

Hii inaonesha kabisa Mwigulu anaona nchi haiendi sawa.

My take: Chuki binafsi dhidi ya Mwigulu ndizo zinazofanya watu kuona kila anachoongea ni kibaya tu
 
ndugu ukiwa unaroho ya kishetani ata ukiongea jambo jema atuta kuamini kamwe.
Mwigulu anatabia za kishetani bila shaka atakuwa mzao wa shetani.
 
Wenye roho za kishetani ni cdm na tunawavumilia tu ila sasa uvumilivu umefkia mwisho.
 
Alimbaka mke wa Sheikh Igunga wakati alilipwa hela na chama akakifanyie kampeni so hana tofauti na Mbowe aliyekwenda kumbaka mke wa mtu Dubai
Ufisadi ni ufisadi tu
Wanasiasa WOOOOTE ni MAFISI lao moja wanatupumbaza tu sisi MAFALA
 
Ni watu wenye akili fupi sana na wanafiki wasio uona ushetani wa uyu bwana mdogo! tamaa ya madaraka na kujikomba kwa mabwana zake imezidi roho ya kiutu... Likini kitu anacho nifurahisha huyu bwana pia yeye anajua watu wenye akili timamu hawapendi tabia yake ya ushiriki ya kumwaga damu za watu wasio na hatia kwa sababu ya ushabiki wa kisias
 
Ni watu wenye akili fupi sana na wanafiki wasio uona ushetani wa uyu bwana mdogo! tamaa ya madaraka na kujikomba kwa mabwana zake imezidi roho ya kiutu... Likini kitu anacho nifurahisha huyu bwana pia yeye anajua watu wenye akili timamu hawapendi tabia yake ya ushiriki ya kumwaga damu za watu wasio na hatia kwa sababu ya ushabiki wa kisias

Wanaomwaga damu ya watu ni chadema tu na siyo watu wengine hapa Tanzania. siawpendi cdm na sitawapenda milele na milele Aminsa
 
Back
Top Bottom