Mwigulu unaikumbuka hii kauli yako?

Mwigulu unaikumbuka hii kauli yako?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
26,362
Reaction score
39,844
Unakumbuka tukio la Nape kutishiwa bastola na njagu ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara ?

Ikumbuke kauli yako wakati ukiwa Waziri wa Mambo ya ndani...


Kwa nini usiwajibike?
IMG-20220128-WA0030.jpg
 
Unakumbuka tukio la Nape kutishiwa bastola na njagu ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara ?

Ikumbuke kauli yako wakati ukiwa Waziri wa Mambo ya ndani...


Kwa nini usiwajibike?View attachment 2098437
Mwigulu yupo sahihi, mwananchi wameongopa. Henry hayupo mtwara na wala hana uhusiano na Gilbert. Mwananchi waombe radhi
 
Wanasiasa ni watu waongo sana..Lairs than anyone else.
 
Kupata vichekesho kama vya mwigulu tunabonyeza ngapi wakuu.
 
Angedhibitiwa kipindi kile yasingetokea sasa. Mungu awafariji wafiwa, maana maumivu wanayopitia sasa hayaelezeki
 
Mwigulu yupo sahihi, mwananchi wameongopa. Henry hayupo mtwara na wala hana uhusiano na Gilbert. Mwananchi waombe radhi
Mtarajiwa wenu ana mazonge kinoma

Mwambieni atubu hizi dhambi ili apate kibali kwa Mungu
 
Unakumbuka tukio la Nape kutishiwa bastola na njagu ndugu Ally Mbuta anayeshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara ?

Ikumbuke kauli yako wakati ukiwa Waziri wa Mambo ya ndani...


Kwa nini usiwajibike?View attachment 2098437
Tatizo mnakurupuka sana ,subiri tu mwananchi waombe radhi ,taarifa hiyo ni ya uongo
 
Akisoma hii anasindikiza na maneno 'mtumikie kafiri upate mradi wako'...Yeye atakwambia alikuwa anamtumikia Kafiri.
 
Back
Top Bottom