EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Nakumbuka wiki moja kabla ya kampeni za Arumeru Mashariki ulikuwa unatupa updates za mara kwa mara, nakumbuka tena ukasema umeshatembelea kata zote 17, kati ya hizo ni kata nne tu za barabarani zinazokusumbua. Lakini naona kadri uchaguzi unavyokaribia unazidi kujificha sana husikiki kabisa, what happened!