TOURMALINE
Senior Member
- Jan 4, 2013
- 125
- 24
Huyu ndiye mwanasiasa ninayemkubali na kumpigia mfano kwa sasa hapa nchini.Nmefatitilia siasa zake na uongozi wake kwenye bunge na jamii kwa ujumla na vitu nlivyovigundua ni kwamba huyu jamaa yupo safi kwa kila kitu.Yeye ndo mfano wangu.Natamani cku moja niwe na uwezo wa kisiasa na kiuongozi kama yeye.