OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,350
- 104,365
Pamoja na kwamba ni kweli chadema kimejaa wahuni lakini tuhuma za mauaji kwao ni uongo.
Labda CCM ndio inapanga kuua. in fact, ina rekodi nzuri tu ya mauaji.
Naanza kuichikia sana serikali ya CCM, kwa kuwaacha huru watu wanaopanga mauaji,mtu anaukalia ushaidi wa kuhatarisha amani