Mwigulu Nchemba: Niliongea na Lukuvi jana tukapanga kikao

Mwigulu Nchemba: Niliongea na Lukuvi jana tukapanga kikao

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameshtushwa na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi kwani walizungumza jana na kupanga mkutano.

 
Hivi inakuaje hatuoni hekaheka za serikali za barakoa na lockdown ukizingatia imetangaza uwepo wa COVID 19!!!

Nakumbuka hawahawa ndiyo walikuja kumpondea Magu mpaka kwenye ili filamu yao ya porini.
 
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameshtushwa na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi kwani walizungumza jana na kupanga mkutano.

Imeandikwa,
"Hatujui saa wala muda atakapokuja Mwana wa Adamu" Mathayo 25:13
kujiandaa kwa mawazo, maneno na matendo mema ni jambo muhimu na la maana zaidi kwa kila mwanadamu aliezaliwa na mwanamke,
maana,
Imeandikwa,
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Ayubu 14:1
 
Imeandikwa,
"Hatujui saa wala muda atakapokuja Mwana wa Adamu" Mathayo 25:13
kujiandaa kwa mawazo, maneno na matendo mema ni jambo muhimu na la maana zaidi kwa kila mwanadamu aliezaliwa na mwanamke,
maana,
Imeandikwa,
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Ayubu 14:1
Siku zake za kuishi si nyingi, naye amejaa taabu ( Ayubu 14:1 )
Duh ! Laiti kila mwana damu angezingatia hayo maandiko,
Duniani pangekuwa ni sehemu salama ya kuishi , !
 
Polepole Impact baada wana CCM kumdai Polepole kwa pamoja huyu PolePole alipo anawataja watu watamalizwa
 
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameshtushwa na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi kwani walizungumza jana na kupanga mkutano.


Tumshukuru Mungu anawachukuwa wenzetu waende huko kwema peponi. Tunaomba Mungu atangulize wale wote wezi wa kura
 
Back
Top Bottom