Mwigulu Nchemba ni Simba anaeunguruma

Mwigulu Nchemba ni Simba anaeunguruma

Kuna wanafunzi wa vyuo vikuu siku hizi? Ni watoto wa advanced secondary school! Vyuo vikuu viliisha miaka ya 80!

Umeongea ukweli mchungu, eti udsm unapita mwaka hakuna kunji, inafika mpaka miaka mitatu eti tambarale kama kanisani pambaufu kabisa.
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.

Kumbe ni umoja wa wanafunzi, mimi nilifikiri umoja wa Wananchi, sio mbaya na siyo vibaya wakamuunga mkono Mwigulu!
 
Umeongea ukweli mchungu, eti udsm unapita mwaka hakuna kunji, inafika mpaka miaka mitatu eti tambarale kama kanisani pambaufu kabisa.

Mzee Punch and his publications. " ...Mzee warns anyone to temper with Mzee's publication...." Mzee remains at large incognito!! That was UDSM of 1980s
 
  • Thanks
Reactions: 999
MWIGULU NA SAKATA LA WANAFUNZI KUPELEKWA MAHAKAMANI,
Wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini wasema, Mwigulu Nchemba ni mtetezi wa kweli wa Wanyonge, anaitwe SOKOINE WA PILI RASMI.

Kauli ya Ndg Mwigulu Nchemba kuwa wanafunzi wanaotuhumiwa kufanya migomo wasipelekwe MAHAKAMANI kimepokelewa kwa shangwe na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini. Akijibu bango katika mkutano wa hadhara uliofanyika morogoro lililosema SOKOINE WA PILI MALIZA TATIZO LA MIKOPO, ndg Mwigulu alusema nimelipokea, tutahakikisha tunaweka vyanzo vya mapato kwenye mfuko wa elimu. Lakini, sioni mantiki ya kuwapeleka hao wanafunzi mahakamani.
1) Mahakamani wapelekwe wezi na mafisadi waliokwapua mali ya umma na haki za watu sio wanafunzi wanaodai haki zao. Kama wamekisa wapewe adhabu za kiuabafunzi tunazozijua.
2) Tungewapa hela yao kwa wakati wasingegoma, hivyo tiba sio nahakamani bali ni kubana matumizi mengine ili fedha iwafikie wanafunzi kwa wakati
3) Viongozi wa wanafunzi wapo kikanuni na husimamia matakwa ya wanaowaongoza. Ni ama usimamie tunayotaka au ujiuzulu, hivyo kuwa adhibu viongozi kama vinara tena mahakaman nikuwaonea.
4) Hawa ni watoto wa masikini, wamesomeshwa kwa shida, kujibana, kuwafukuza na kuwapeleka mahakamani ni kuiadhibu familia nzima na pengine ukoo mzima.
" TUWAPELEKE MAHAKAMANI WALIOIBA MALI YA UMMA MPAKA WANAFUNZI WAKAKOSA MIKOPO BADALA YA KUWAPELEKA MAHAKAMANI WALIOKOSA MIKOPO" alisema Mwigulu huku akushangiliwa na maelfu ya wananchi wakuwepo wanavyuo.
 
Ame foji,jina,umri,Arusha hakanyagi;Sifa zimepelea.Angekuwepo Nyerere angesema umri bado.Sisi tunasema HAFAI
 
acha kula pumba ilochanganywa mbegu za bangi ndugu...tangu lini mmekua wasemaji wa wanavyuo?
TEAMm lowassa
 
Last edited by a moderator:
labda wanafunzi wa DIVISION SEVEN na FIVE lakini sio watu wenye akili zao timamu. Pppppmbav
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.

sema chaguo lako! umoja umoja unaujua umoja weweee! naniii ka umoja
 
Salaam Wazalendo na wapenda mabadiliko.

Azimio la Arusha litarejea rasmi Novemba 2015 chini ya Jemedari Mwigulu. Mafisadi na wahujumu uchumi kukiona cha moto, Tanzania kubadilika na kuwa kama China ya Mao
 
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.
Acha kutuharibia siku wewe mtu usiyejitambua haya mambo ya kutunga uongo yanakwisha mwezi wa tatu mwishoni panga litakapoanza kutembea hakutakuwa na wehu kama hawa.
 
Mwigulu huyu huyu aliyewahi kuitwa Savimbi!? au ni huyu anayetuhumiwa kudanganya umri!?
 
Baada ya kutafakari kwa kina harakati na mienendo ya Mwigulu nchemba naibu katibu mkuu ccm bara na naibu waziri wa fedha nimegundua mwanaume Huyu ni simba. ....

Kwanza nikiri hana uadui na mtu yoyote na kwa mbali inaaminika ni Left wing wa lowasa au chaguo namba mbili iwapo lowasa ataenguliwa jina lake kamati kuu...basi atamuunga mkono mwigulu nchemba. ...

Misimamo yake maisha yake mbinu zake na harakati zake zimemfanya kua mwanasiasa mwenye nguvu katika wakati mfupi tuu. ..

Amejizolea umaarufu mkubwa katika taifa hili na kuonekana ni mwiba nje ya ccm kwa wapinzani na ndani ya ccm kwa wasaka URAIS

Hofu ya mwigulu kuingia ikulu imetanda katika kila moyo wa mwanaccm na mioyoni mwa watanzania wengi huku wengine wakiona kama miujuza

Wapo wanaohaha kujaribu kuzima moto huo lakini wanakutana na roho ngumu Yahoo mwigulu nchemba harudi nyuma wala hapunguzi ni mapambano makali ni vita nzito....

Nitumie nafasi hii kuwatakia kila la heri wanaoshinda stationary kutengeneza vyeti feki na barua feki mwisho mtapata raisi feki anaewatuma kufanya hivyo

Wanyiramba tunasema SONGERA ZIGIZIGI....

View attachment 220381


Kivipi? Wakati MOJA YA MASHARTI Tuliyoyakubali ili Investors wachimbe GOLD... COAL... GAS na kutembelea WATALII wetu ni kuwa hakuna tena NATIONALIZATION...

Na NGUZO 5 za UONGOZI hawezi kuzirudisha as CLASSES and CLASS WARFARE Created... BRAINSTORM DONE...
 
Kinana na Nape nao kwa mienendo yao wanajiandaa kugombea urais
 
acha kutudalilisha umoja wa walimu vijana eti tunamuunga mkono gaidi muuaji nchemba. Msitufanye cc ni kondomu enye wanaccm. Walimu tuna akili yakuchambua tena hasa tuliopita vyuo vikuu. Na mkome. Tafuteni wana ccm wenzenu ndo mseme wanawaunga mkono sio ss.

Wew kwa jinsi ulivo coment lazima utakuwa mwasim kweli tena wale wa KISWAHILI !
 
Back
Top Bottom