Kuna wanafunzi wa vyuo vikuu siku hizi? Ni watoto wa advanced secondary school! Vyuo vikuu viliisha miaka ya 80!
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.
Umeongea ukweli mchungu, eti udsm unapita mwaka hakuna kunji, inafika mpaka miaka mitatu eti tambarale kama kanisani pambaufu kabisa.
Watakuwa wanafunzi wa VETA University hao
umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.
Acha kutuharibia siku wewe mtu usiyejitambua haya mambo ya kutunga uongo yanakwisha mwezi wa tatu mwishoni panga litakapoanza kutembea hakutakuwa na wehu kama hawa.umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamesema watamuunga mkono mh,mwigulu nchemba pale atakapotangaza rasmi kwan ndiye mgombea pekee kutoka nje na ndani ya ccm mwenye uwezo wa kuikomboa tz kwa hapa ilipofikia. Nao umoja wa walimu vijana upo mbioni kutangaza azimio la kumuunga mkono mh mwigulu nchemba kwenye urais iwapo atatangaza nia.
Baada ya kutafakari kwa kina harakati na mienendo ya Mwigulu nchemba naibu katibu mkuu ccm bara na naibu waziri wa fedha nimegundua mwanaume Huyu ni simba. ....
Kwanza nikiri hana uadui na mtu yoyote na kwa mbali inaaminika ni Left wing wa lowasa au chaguo namba mbili iwapo lowasa ataenguliwa jina lake kamati kuu...basi atamuunga mkono mwigulu nchemba. ...
Misimamo yake maisha yake mbinu zake na harakati zake zimemfanya kua mwanasiasa mwenye nguvu katika wakati mfupi tuu. ..
Amejizolea umaarufu mkubwa katika taifa hili na kuonekana ni mwiba nje ya ccm kwa wapinzani na ndani ya ccm kwa wasaka URAIS
Hofu ya mwigulu kuingia ikulu imetanda katika kila moyo wa mwanaccm na mioyoni mwa watanzania wengi huku wengine wakiona kama miujuza
Wapo wanaohaha kujaribu kuzima moto huo lakini wanakutana na roho ngumu Yahoo mwigulu nchemba harudi nyuma wala hapunguzi ni mapambano makali ni vita nzito....
Nitumie nafasi hii kuwatakia kila la heri wanaoshinda stationary kutengeneza vyeti feki na barua feki mwisho mtapata raisi feki anaewatuma kufanya hivyo
Wanyiramba tunasema SONGERA ZIGIZIGI....
View attachment 220381
acha kutudalilisha umoja wa walimu vijana eti tunamuunga mkono gaidi muuaji nchemba. Msitufanye cc ni kondomu enye wanaccm. Walimu tuna akili yakuchambua tena hasa tuliopita vyuo vikuu. Na mkome. Tafuteni wana ccm wenzenu ndo mseme wanawaunga mkono sio ss.