Mwigulu Nchemba ni kiboko ya chadema; afanya kufuru Songea.

Jana Naibu katibu mkuu wa ccm Mwigulu Nchemba amekabidhi kadi za ccm kwa wanafunzi 200 wa vyuo vikuu Songea, amewapokea wanachama watatu walioihama chadema na kujiunga na ccm.
- Slaa ni mwongo kwa kusema kuwa bomba la gesi linajengwa kuelekea Ulaya.
- Chadema wanapewa fedha na wafadhili wasioitakia mema nchi hii. Amesema kama chadema imekosa fedha za kuitishia kikao cha halmashauri kuu, wamepata wapi fedha za kukodi chopper mil. 40 kwa siku?.
-Ameelezea sababu ya ccm na watanzania wengi kutaka muungano wa serikali mbili kuwa ndiyo muungano wenye maslahi ya taifa. Ametoboa ukweli wa msimamo wa vyama vya upinzani kutaka serikali tatu kuwa ni kutaka muungano uvunjike kwasababu ya uroho wa madaraka. Amesema, ukiondoa ccm, vyama vingine havina sura ya muungano hivyo vinataka muungano uvunjike vikidhani vitatawala kirahisi kwenye vipande vya muungano.
-Ameichana chadema live kuwa mtaji wa chama hicho ni matatizo ya watanzania. Amesema chadema hupenda kuona mambo yakienda mlama ili wapate ajenda ya kuzungumza. Alisema kuwa wamezoea kuwaandamanisha watanzania wakati watoto wao wanawaficha majumbani.

-Viongozi wa chadema wanahongwa majumba Ulaya na mabwana zao wa magharibi ili kuleta machafuko ndani ya nchi. Alisema kuwa tangu maandamano na mikutano ya chadema imeanza watanzania zaidi ya 10 wamepoteza maisha kwa kuwatoa sadaka na kusingizia jeshi la polisi.

- Alipongeza hekima na busara za Rais Kikwete kuwa pamoja na chokochoko za upinzani wanazotumwa na mabwana zao kuzifanya ili kuivuruga nchi, bado amewapiga bao. Ametolea mfano wa katiba mpya akisema anashindwa kuwaelewa wapinzani ambao waliahidi katiba mpya kwa muda wa siku mia na wengine wakasema tayari wanayo rasimu mfukoni, leo wanasema muda uliotengwa na serikali ni mdogo!.

-Alisema kuwa ccm imebaini janja ya upinzani na hasa chadema kuwa kelele zoooooote si chochote bali ni kutaka nchi ivurugike, uroho wa madaraka na rasilimali za nchi kwa kutumiwa na mabwana zao.

Alisema kuwa iwe muungano wa serikali moja, mbili, tatu ama nne, chadema ilishapigwa bao siku nyiiiiingi!

Hata kama ungeweka picha ya uongo ingekua afadhari lkn kwa hiisijui kama tutakuamini.
 
Jana Naibu katibu mkuu wa ccm Mwigulu Nchemba amekabidhi kadi za ccm kwa wanafunzi 200 wa vyuo vikuu Songea, amewapokea wanachama watatu walioihama chadema na kujiunga na ccm.
- Slaa ni mwongo kwa kusema kuwa bomba la gesi linajengwa kuelekea Ulaya.
- Chadema wanapewa fedha na wafadhili wasioitakia mema nchi hii. Amesema kama chadema imekosa fedha za kuitishia kikao cha
halmashauri kuu, wamepata wapi fedha za
kukodi chopper mil. 40 kwa siku?.



-Ameelezea sababu ya ccm na watanzania wengi kutaka muungano wa serikali mbili kuwa ndiyo muungano wenye maslahi ya taifa. Ametoboa ukweli wa msimamo wa vyama vya

upinzani kutaka serikali tatu kuwa ni kutaka
muungano uvunjike kwasababu ya uroho wa
madaraka. Amesema, ukiondoa ccm, vyama vingine havina sura ya muungano hivyo vinataka muungano uvunjike vikidhani




vitatawala kirahisi kwenye vipande vya





muungano.
-Ameichana chadema live kuwa mtaji wa chama hicho ni matatizo ya watanzania. Amesema chadema hupenda kuona mambo yakienda mlama ili wapate ajenda ya kuzungumza. Alisema kuwa wamezoea kuwaandamanisha

watanzania wakati watoto wao wanawaficha
majumbani
-Viongozi wa chadema wanahongwa majumba Ulaya na mabwana zao wa magharibi ili kuleta

machafuko ndani ya nchi. Alisema kuwa tangu

maandamano na mikutano ya chadema

imeanza watanzania zaidi ya 10 wamepoteza

maisha kwa kuwatoa sadaka na kusingizia jeshi la polisi

- Alipongeza hekima na busara za Rais Kikwete kuwa pamoja na chokochoko za upinzani



wanazotumwa na mabwana zao kuzifanya ili
kuivuruga nchi, bado amewapiga bao. Ametolea mfano wa katiba mpya akisema anashindwa kuwaelewa wapinzani ambao waliahidi katiba mpya kwa muda wa siku mia na wengine
wakasema tayari wanayo rasimu mfukoni, leo

wanasema muda uliotengwa na serikali ni

mdogo!.

-Alisema kuwa ccm imebaini janja ya upinzani


na hasa chadema kuwa kelele zoooooote si


chochote bali ni kutaka nchi ivurugike, uroho wa
madaraka na rasilimali za nchi kwa kutumiwa na mabwana za
Alisema kuwa iwe muungano wa serikali moja, mbili, tatu ama nne, chadema ilishapigwa bao siku nyiiiiingi![/QUOTE

CCM bana inafananishwa na mtoto aliyetumwa dukani kununua sukari Kisha akailamba yote badala ya kuifikisha nyumbani hivi ndivyo TANU ilivyofanya baada ya kuipotezea TANGANYIKA. Sasa wakati umefika wenye TANGANYIKA yao wanaidai kupitia serikaIi tatu eti wanaitwa waroho wa madaraka, ustawi wa Taifa la Zanzibar ndani ya muungano huu pasipo Taifa la TANGANYIKA huo ndo ulikuwa mwanzo wa uroho wa madaraka kwa wanzanzibari.Kama ni muungano wa kweli ungeleta Taifa Moja yaani seriali moja, hayo aliyoyanena Mwigilu anaonyesha no jinsi gain CCM wanaogopa kivuli chao, kwa uhakika CCM no chama kilicho
Undwa kwa ajili ya kupotezea yote waliyopiganiwa yaani ustawi wa wananchi pasipo kuweka matabaka kama yalivyo kuwa kabla ya Uhuru il a CCM imekuja kuujenga mfumo was matabaka kwa wasiyonacho walionacho kibaya zaidi wamejitwali umiliki wa nchi na wameamua kuuza rasilimali ya Taifa hil i kwa mabwana Zhao kwa being ya kutupwa hata ikibidi kutoa roho za wananchi wake kama walivyofanya kule mtwara. Wakati umefika tuitoe CCM kwani no pepo chili nasema kwa jina
Yesu wa Nazareth pepo name mini CCM toka umeshindwa ndani seriali Tartu.
 
Hivi wewe ubaakili kweli?? Kwani nakuona humu vita yako ya maneno inaashiria kuwa wewe hujui hata unachoshabikia@simiyu yetu...
 
Ukimwacha zitto kabwe hakuna kiongozi mwingine wa chadema ambaye anaweza kufika uwezo wa kiakili wa mwigulu hata mmoja hata robo ya akili tu.

Kumbe unalitambua hilo, ni kweli ukimuondoa msaliti Zitto, hakuna kiongozi wa CHADEMA anayeweza kuwa na akili muflisi kama Mwigulu. Point taken
 
Kusema kweli hotuba ya Nchemba iliwakuna wengi ambao walionekana kugutushwa na ukweli ambao walikuwa hawaujui. Kila alipokuwa akiumwaga ukweli huo, ilisikika sauti ya mshangao kutoka kwa watu..... alaaaa kumbe! Kiukweli wanasongea wameielewa chadema na malengo yake nyuma ya pazia.

Wewe ndiyo zero kabisa. Wanasongea siyo watu wajinga kiasi ya kuushabikia upuuzi wa mtu aliyeghushi vyeti. Huyu muuaji amekuwa akiyasema hayo kila uchao, na hapa ame- paste tu, hana jipya.
Tulitegemea angezungumzia utatuzi wa matatizo ya wana-Ruvuma, matatizo yaliyosababisha secretariat kuibua mawaziri mizigo, imefikia wapi, lkn kwa uchovu wa fikra mpya ameona Chadema ndiyo wamesababisha haya matatizo, mwizi mkubwa.
Mwigulu kaifilisi ccm na sasa kateuliwa akaifilisi na Treasury pia, Lameck Madelu Mkumbo ndiyo jina lake halisi huyu muuaji
 
kama mtaji wa cdm ni umaskini,kw nini ccm wasi eradicate huo umaskini ili cdm wakose mtaji?
hao watu kumi walio uwawa kwenye mikutano ya cdm waliuwawa na viongozi wa cdm au police,kama ni police hao police walitumwa na cdm au serikali tawala?
mbona serikali ya ccm inapokea msaada kutoka nje inamaana hao wafadhili ni mabwana wa kikwete?
 
Mwiguru anatamani apewe mimba na makamanda wa chadema.... mikutano ya ccm mpaka daimondi akaite watu ahahaha chadena hatuitaji msanii wa mziki kukusanya watu chadema wananchi wanafata sera zetu
 
Hii nchi hata KICHAA anapewa UWAZIRI, huyu jamaa anatokwa na povu kwa ajili ya CHADEMA badala ya kujikita kwenye hoja za kuwaletea watanzania maendeleo, HALAFU KUNA SEHEMU NIMENUSA ETI JAMAA HATAKIWI KUKANYAGA ARDHI YA MAREKANI KWA SABABU YA KUANDAA UGAIDI NA KUISINGIZIA CHADEMA, KWELI?
 
Kumbe gaidi bado halijaota akili mpya pamoja na kupewa Uwaziri wa Kimagumashi? Sasa, yeye kazi yake ni kusaidia kuwaletea Watanzania maisha bora na kuwatoa kutoka kwenye rindi la umasikini au kupambana na Chadema?
Nchemba anawapasua vichwa sana!!! Lile jembe
 
Mwigulu umepigwa ban kukanyaga ardhi ya marekani bado hukomi subiri the heague inakuita.
 
Mwigulu umepigwa ban kukanyaga ardhi ya marekani bado hukomi subiri the heague inakuita kwa speech zako za ovyo
 
Kusema kweli hotuba ya Nchemba iliwakuna wengi ambao walionekana kugutushwa na ukweli ambao walikuwa hawaujui. Kila alipokuwa akiumwaga ukweli huo, ilisikika sauti ya mshangao kutoka kwa watu..... alaaaa kumbe! Kiukweli wanasongea wameielewa chadema na malengo yake nyuma ya pazia.

Mipasho kutoka lumumba modern taarab
 
Kwani chopper moja ni kiasi gani mpaka ukodi kwa mil.40 kwa siku? Km kweli wafadhili ndio wanaolipa wanashindwa nn kuwanunuia chopper? Km ccm sio waroho wa madaraka wanaogopa nn serikali tatu? Na km chadema mtaji wao ni matatizo ya watz, ccm kwa nn isiwaboreshee watz maisha ili chadema ikose mtaji? Na kwa nn hao ccm mapovu yanawatoka kutwa nzima kuitaja chadema?
 
Sikuungi mkono kwa hili kwani mboma wabunge wa chadema kutwa kucha wanazunguka kujenga chama badala kwenda kwa wananchi waliowachagua na kuwasikiliza matatizo na changamoto zao, pia wabunge wa chadema si ni mawaziri vivuli sasa mbona wao huwaambia kwenda kwenye kamati zao kujadili kuhusu uchumi na mambo mbalimbali.


Sikiliza hotuba ya chadema bungeni.......
 
Jana Naibu katibu mkuu wa ccm Mwigulu Nchemba amekabidhi kadi za ccm kwa wanafunzi 200 wa vyuo vikuu Songea, amewapokea wanachama watatu walioihama chadema na kujiunga na ccm.
- Slaa ni mwongo kwa kusema kuwa bomba la gesi linajengwa kuelekea Ulaya.
- Chadema wanapewa fedha na wafadhili wasioitakia mema nchi hii. Amesema kama chadema imekosa fedha za kuitishia kikao cha halmashauri kuu, wamepata wapi fedha za kukodi chopper mil. 40 kwa siku?.
-Ameelezea sababu ya ccm na watanzania wengi kutaka muungano wa serikali mbili kuwa ndiyo muungano wenye maslahi ya taifa. Ametoboa ukweli wa msimamo wa vyama vya upinzani kutaka serikali tatu kuwa ni kutaka muungano uvunjike kwasababu ya uroho wa madaraka. Amesema, ukiondoa ccm, vyama vingine havina sura ya muungano hivyo vinataka muungano uvunjike vikidhani vitatawala kirahisi kwenye vipande vya muungano.
-Ameichana chadema live kuwa mtaji wa chama hicho ni matatizo ya watanzania: Kuna vyuo vikuu Songea! Maajabu ya ccm!!
 
Back
Top Bottom