mshumbusi
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 457
- 231
kuna muda mwingine sio lazima upost vitu ambavyo vitakela watu na wengine ukawasababishia watabike kwa thread za kujinga namna hii hivi wewe unaongelea Mwigulu ni baba bora una mfaahamu Lucy mkewe ana miezi mingapi ajamuona mumewe ?dada wawatu anafanya kahi hapa bomani (ILAMBA) anatia udhini mkubwa yaani mwigulu kila siku yeyeni vikaoo .eti una mwita baba bora wafamily poleMbali na kuwa msomi pia ni baba bora wa familia na mwanasiasa mwenye muono wa mbali na pia mwenye uzalendo kwa taifa lake.
Mwigulu amekuwa mkali sana kwa wake wote wanaotishia amani ya taifa letu hii hapa ni moja kati ya nukuu zake zilizojaa busara na uzalendo mkuu.
Mwigulu Nchemba
"WAACHENI WATOTO WAJE KWANGU MAANA CHAMA HIKI NI CHA WATU WOTE''.
''NA MTU YEYOTE ANAEIHUJUMU SERIKALI YA CCM AKIDHANI ANAIKOMOA CCM ANAWAHUJUMU WATANZANIA.KWA KUWA HAKUNA TAIFA LINAITWA CCM''.
Mungu ibariki Tanzania, Munguibariki Africa.
MOD
UINASUBILI NINI KUONDOA HII ?