Mwigulu Nchemba jiulize swali moja tu utendaji kazi wako unaweza kulingana na wa Kassim?

Mwigulu Nchemba jiulize swali moja tu utendaji kazi wako unaweza kulingana na wa Kassim?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,281
Reaction score
7,061
Namna ya kutatua kero za wananchi. Kutoa maagizo na hata kushughulikia watendaji wa serikali?

Waziri mkuu ndie msimamizi mkuu wa shughuli za serikali.

Marehemu Sokoine alikuwa msimamizi mkuu wa shughuli za serikali. Maana hata maagizo yake yaliogopwa.

Vivyo hivyo kwa Kasim mstaafu ambae juzi alipigiwe makofi na vigelegele.

Wewe hukupigiwa makofi na vigelegele.
 
Back
Top Bottom