Wana Jukwaa,
Tafadhalini sana naomba mpokee ujumbe kutoka kwa watu wa karibu na Mwigulu Nchemba wamesema Mwigulu hahusiki kwa namna yoyote kuratibu maandamano ya makundi ya kulichafua Kanisa Katoliki.
Pamoja na Mwigulu kuonekana na picha ya mmoja wa waratibu wa maandamano hayo ndugu Ludovick lakini tuhuma anazoelekezewa zinalenga kumchafua na kumchonganisha na waumini wa Kanisa Katoliki na kwamba hazina ukweli.
Acheni uzushi wa vita ya urais 2030, ni zamu ya Mkristo, na rais wa JMT akiwa Mkristo ni lazima awe ni ...
anayemfuatia Rais Samia ni Nchimbi, tembelea mada HII ujue kwa nini anayamfuatia Rais Samia ni Nchimbi.
Tafadhalini sana naomba mpokee ujumbe kutoka kwa watu wa karibu na Mwigulu Nchemba wamesema Mwigulu hahusiki kwa namna yoyote kuratibu maandamano ya makundi ya kulichafua Kanisa Katoliki.
Pamoja na Mwigulu kuonekana na picha ya mmoja wa waratibu wa maandamano hayo ndugu Ludovick lakini tuhuma anazoelekezewa zinalenga kumchafua na kumchonganisha na waumini wa Kanisa Katoliki na kwamba hazina ukweli.
Acheni uzushi wa vita ya urais 2030, ni zamu ya Mkristo, na rais wa JMT akiwa Mkristo ni lazima awe ni ...
anayemfuatia Rais Samia ni Nchimbi, tembelea mada HII ujue kwa nini anayamfuatia Rais Samia ni Nchimbi.