Kwa sasa Masele ndio Habari ya Mjini!
Ukishakuwa mwanachama Wa ccm ni kigezo tosha cha kujua reasoning capacity.NI MATAKWA YA KATIBA, kwamba mwigulu halijui hilo?? kweli CCM akili unakabidhi mlangoni kisha baada ya hapo ni mwendo wa fikra za mwenyekiti.
wakati JPM anawazawadia wale makada wasio na uzoefu wowote kwenye utumishi wa umma nafasi za ukurugenzi si mlikua mnakenua? sasa endeleeni kukenua.