kumbe kweli kuna viongozi wanavuta ashhh ashhh:bange:......... Loading........
kumbe kweli kuna viongozi wanavuta ashhh ashhh:bange:
Mtu yuko nyumbani kwake na mkewe unasema ni jembe! Picha ingekuwa ni kwenye mkutano au kazi ya chama ungekuwa na haki ya kumwita jamba sijui jembe! Ushabiki wako hauongozwi na akili ila na kiwewe cha 4-0Mwanaume wa kishoka utajua ukimkuta na familia yake TUACHENI USHABIKI HUYU JAMAA NI JEMBE HONGERA WANACCM JEMBE MNALO.
Naz...kuna jamaa mmoja alivyoiona hii picha alinichekesha sana maana aliuliza hivi, "Eti huyo jamaa mwenye nguo ya kijani atajifungua lini, maana naona ujauzito wake ushakuwa mkubwa"
Sasa mkewe sini wife material unamuona kabisa hapo! Mke anayempa mtu furaha anaonekana tumbona mke wake anaonekana mstaarabu??? she seems sh dozn't knw even how tindikali lookslyk..so wats wrong with ths madevu???
Kwani wewe ni mke wake hadi uanze kuhoji juu ya ndevu zake??.Halafu sijui kwanini siku hizi kafuga midevu
Mlishaijadili na nani??.tulisha ijadili sana humu hii
Lkn mkewe kayapenda.Madevu hayo utafikiri ndondocha !
Zamani alikuwa hafugi?Halafu sijui kwanini siku hizi kafuga midevu
Sana ndio zipi hizo mkuuKuna mtu alisema eti anaficha zana za kazi kwenye mandevu yake, sijui ni kweli??
Nipe link mkuu nikavhangie hukotulisha ijadili sana humu hii
Uzinzi ndio unamfanya afuge madevu?Uzinzi unamsumbua huyu
Esthermkewe anaitwa nani?
Amekusaundisha nini [emoji23] [emoji23]Uzinzi unamsumbua huyu