Nimekuwa nikifuatilia kauli za Waziri Nchemba hasa kuhusu Ufisadi wa MISHAHARA HEWA na hili la sasa la ESCROW. Lakini pia nikakumbuka kauli yake juu ya matumizi ya fedha za wananchi wakati wa vikao vya Bunge la Katiba.
Hakika Mwigulu anaonesha kukubarika hasa baada ya kuingia Serikalini na labda kujua na kujionea madudu yanayofanyika humo.
HONGERA MWIGULU.
Lakini naomba nimkumbushe kuwa aliwahi kutangaza uadui mkubwa na Dr. Slaa na kumfananisha na shetani, kwakuwa tu Dr. Slaa alikuwa anatoa matamshi ya waziwazi ya kukosoa uozo ndani ya serikali hii ya CCM.
Yale yale ya Dr. Slaa ndio Mwigulu anayashuhudia na kukerwa nayo sasa!
Je? Si wakati muafaka Mheshimiwa Mwigulu Amwombe radhi Dr slaa kwa kumfananisha na Shetani?
Hakika Mwigulu anaonesha kukubarika hasa baada ya kuingia Serikalini na labda kujua na kujionea madudu yanayofanyika humo.
HONGERA MWIGULU.
Lakini naomba nimkumbushe kuwa aliwahi kutangaza uadui mkubwa na Dr. Slaa na kumfananisha na shetani, kwakuwa tu Dr. Slaa alikuwa anatoa matamshi ya waziwazi ya kukosoa uozo ndani ya serikali hii ya CCM.
Yale yale ya Dr. Slaa ndio Mwigulu anayashuhudia na kukerwa nayo sasa!
Je? Si wakati muafaka Mheshimiwa Mwigulu Amwombe radhi Dr slaa kwa kumfananisha na Shetani?