King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,419
- 88,756
Ngoja tuone hiyo tar 31 Dec kama mafisadi wa escrow watapeleka kodi TRA.
Ushetani aliousema mwigulu ni ule wa Mtu mwenye hadhi ya Upadri kama slaa kuendelea kuzaa tuu na wanawake bila kuwaoa kauli ile wala haihusiani na Siasa. hayo ya siasa unayaleta wewe!
Acha kuweweseka kwa mambo yasiyokuhusu... yule padri kazaa bila ndoa, kaacha na kuchukua mke wa mtu na kumzalisha hata wewe atakuzalisha ukimsogelea karibu yule babu wa miaka 72 ni kicheche
Kwani ni kosa kumfananisha Dr Slaa na shetani?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...broad-slaa-kuhusiana-na-kashfa-ya-escrow.htmlKwa heshima zote, ni maneno yapi alinukuu? Sikuwa na bahati ya kumsikilza. Ntashukuru ukiyashusha hapa.