Mwigulu Nchemba: Amepata wapi hela ya kukodi Chopa?

Mwigulu Nchemba: Amepata wapi hela ya kukodi Chopa?

Mpwa jamaa anaonyesha jinsi alivyo mbadhirifu wa kufuja opesa za walipa kodi. Hiyo safari ilikuwa ina umuhimu upi mpaka asisafiri kwa usafiri wa kawaida na kuamua kukodi chopa. Na hapo ndio Waziri Mdogo sasa kama ataununua urais kwa mabavu si ndio ataifilisi nchi kabisa!!! Hizi pesa alizolipia chopa kama zimetoka hazina basi ashinikizwe arudishe mara moja au akatwe toka mshahara wake. Tumechoshwa na mafisadi ambao wanaendeleza ubadhirifu wa kutisha kila kukicha.

MANI tpaul BAK na everlenk haya Kiongozi wa nanihii kakodisha Chopa
 
Miongoni Mwa Wanasisiem watakaonyongwa cku serikal itakapokuwa mikononi mwa wazalendo halisi wa nchi hii mwiguru yumo, n dhambi kubwa kutumia pesa za wizara kuenezea chama, hatutawasemehe mtuue ila watakaobak watakuja kuyatekeleza haya!
 
Huyu ni waziri hatujui hiyo ziara yake kama ni kikazi, kichama, au ni mambo yake binafsi ya kusaka uraisi.

Yotekwa yote atueleza amepatawapi hela, kwasababu hatujawahi kuona nyerere,sokoine wala mrema wakifanya ziara kwa helcopta iwe ya kichama,kikazi au binafsi.
Hazina na taasisi zote za fedha ziko chini yake, ,,,escrow, ,,,,ruzuku pia hapo lakairo hajamwaga pesa
 
Kabla ya kutoa maoni ibabidi mtu ujue mambo yafuatayo (1) bei ya kukodi chopa(2)huyo aliekodi hyo chopa ana uwezo wa hyo hela ya kukodi (3)amekodi kwa hela zake(4)amekodiwa(5) huyo aliemkodia ni nani?mtu,watu,kikundi au taasisi(6)huyo au hao waliomkodia hyo chopa wanao uwezo wa hyo fedha(7)kodi imelipwa cash,mkopo au wamepewa offer;baada ya kupata majibu ya maswali hayo unaweza ukaongea kitu cha maana
 
Kabla ya kutoa maoni ibabidi mtu ujue mambo yafuatayo (1) bei ya kukodi chopa(2)huyo aliekodi hyo chopa ana uwezo wa hyo hela ya kukodi (3)amekodi kwa hela zake(4)amekodiwa(5) huyo aliemkodia ni nani?mtu,watu,kikundi au taasisi(6)huyo au hao waliomkodia hyo chopa wanao uwezo wa hyo fedha(7)kodi imelipwa cash,mkopo au wamepewa offer;baada ya kupata majibu ya maswali hayo unaweza ukaongea kitu cha maana

mkuu umeongea mambo ya msingi sana lakini ni wachache watakaoukuelewa, hasa hii misukule ya lumumba:
View attachment 219706
 
Kabla ya kutoa maoni ibabidi mtu ujue mambo yafuatayo (1) bei ya kukodi chopa(2)huyo aliekodi hyo chopa ana uwezo wa hyo hela ya kukodi (3)amekodi kwa hela zake(4)amekodiwa(5) huyo aliemkodia ni nani?mtu,watu,kikundi au taasisi(6)huyo au hao waliomkodia hyo chopa wanao uwezo wa hyo fedha(7)kodi imelipwa cash,mkopo au wamepewa offer;baada ya kupata majibu ya maswali hayo unaweza ukaongea kitu cha maana

mkuu umeongea mambo ya msingi sana lakini ni wachache watakaoukuelewa, hasa hii misukule ya lumumba:
View attachment 219706
 
  • Thanks
Reactions: kpg
Nyambafu,eti anajifananisha na nyerere kama anajitambua awaombe radhi watanzania kwa hili hana sifa hata moja ya kuwa rais wa tanzania akiwa rais awezi kutembelea gari ni juu kwa juu tu.ccm wote ni ukoo ule ule tu hakuna msafi uko
 
Back
Top Bottom