Si ni usukumani? Huyu ni wa Iramba na pia sio Ng'wigulu kwenye akili usipime hilo jamaa ni bright sana huyo amesomea ilboru shule ya vipaji maalum na ana first class chuo kikuu. BA na MA uchumi ndiO maana akasomeshwa na benki kuu. Jamaa najua mmelchukia saana ila lina akili sana
kazi aliyotumwa alishaimaliza-kumleta Dalali (yule aliyepokea posho la laki 5) bungeni . si unajua kazi ya mbwa?ccm inamtegemea huyu kwenye mambo ya uchumi, akizinduka usingizini anaanza kuchangia
Anategemewa na ccm na wale anaowamegea wake zao, kisha kuwahonga ili kuwaziba midomo.Ng'wanangwa umenishtua sana una hoja ya kitoto kweli kweli hivi jina linaweza kumwongezea mtu akili, umetoa argument inayokuoneha kuchoka kweli kiakili kuliko teja. Sikufahamu ila ninavyomfahamu Mwigulu sio wakulinganishwa nawe kwa IQ,kisiasa na kujieleza. Mwigulu ni miongoni mwa vijana ambao taifa linawategemea
Ulilala nae Eaka Mangi? Basi alilala, then?
Nilimwona hajala ila alikuwa anachaart kwa I PAD, nikwamba hairuhusiwi kusoma mail
Hawezi kulala unajua David Jairo ni wa katani kwake kule Iramba Magharibi. Nadhani ndio maana hata hajachangia nadhani
Si ni usukumani? Huyu ni wa Iramba na pia sio Ng'wigulu kwenye akili usipime hilo jamaa ni bright sana huyo amesomea ilboru shule ya vipaji maalum na ana first class chuo kikuu. BA na MA uchumi ndiO maana akasomeshwa na benki kuu. Jamaa najua mmelchukia saana ila lina akili sana
Kama kalala wekeni picha tuone mbona labda una agenda ya siri mimi nimefuatilia nimwona ana chart. Ila degedege hata kama alikuwa anameza tangu shule ya msingi na akaenda shule ya vipaji maalum na akaendelea kumeza mpaka kupata first class ya BA na MA ya uchumi bado ni mkali wewe ulishindwa nini kumeza? Ulipata ngapi? The man is smart na haiwezi kuondolewa kwa kuchukiwa na watu.
Mch wa watu umenena, dogo amewafanyia mbaya sana, kote akifanya mikutano wananchi huwa wanamwitikia sana. Ukerewe walibaki midomo wazi hilo jembe la uhakika mwigulu the giant. Alimfunika slaa na mbowe igunga wakaonekana cha mtoto
Magwanda kwa uzushi mnashikilia hata uzushi wekeni picha tuone
Mch wa watu umenena, dogo amewafanyia mbaya sana, kote akifanya mikutano wananchi huwa wanamwitikia sana. Ukerewe walibaki midomo wazi hilo jembe la uhakika mwigulu the giant. Alimfunika slaa na mbowe igunga wakaonekana cha mtoto