Dkt Mwigulu Nchemba ni mtu sahihi kwa wakati sahihi, tusimnange

Feb 7, 2019
41
45
Dkt Mwigulu Nchemba ni mtu sahihi kwa wakati sahihi.

Nimesoma andiko la mwanajf mmoja humu, amemshutumu sana Dkt Mwigulu Nchemba bila hoja za msingi, kama kawaida ya wabongo bongolala. Hivi unawezaje kutuhumu PhD ya Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kwasababu katoa speech ambayo haikipendezi chama unachokiamini?
Hivi unawezaje kumchukia mtu kwasababu tu akisimama jukwaani anaweka hadharani uzandiki wenu mnaofanya dhidi ya watanzania?

Bahati mbaya sana vyama vya upinzani vimezalisha vijana wa hovyo, wasioweza kujadili hoja, wametanguliza mbele hisia za kisiasa kuliko uhalisia wala hoja.

Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amesema tuache kujipa kiherehere cha kuorodhesha matatizo ambayo hayapo na wakati mwingine Matatizo hayo tayari yanakuwa yameshachukuliwa hatua na Serikali, unakuta chama fulani kinakazana kujadili tatizo ambalo tayari limetatuliwa, na hii yote ni kutokana na kukosa ajenda za kuibana Serikali mnabaki mnaokoteza vihoja barabarani na kuja kuwalisha upepo wafuasi wenu ambao wamejawa na hisia za ujinga na uzwazwa.

Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ni mtu sahihi kwa kipindi hiki kwasababu ni full package yaani Kiraka, ni mchumi wa daraja la juu pale benki ya dunia, ni strategist wa kupambana na mifumo ya bei, ni mwanasiasa nguli ukimletea za kisiasa anaenda na wewe mazimamazima unabaki kulialia.

Tuliataka kumhukumu kwa tozo lakini alikuwa sahihi kabisa Kwasababu Fedha hizo zilikuwa zije kufuta kabisa kadhia ya Ukosefu wa mikopo ya Elimu ya Juu, wote ni mashahidi leo wanafunzi wamekosa mikopo kwasababu tu tozo zimeondolewa baada ya wajuaji kujipa umuhimu wa kuleta makelele ya kijinga bila kuwaza kitatokea nini uko mbeleni.

Na Tozo ni maamuzi ya Serikali nzima unapokuja kumshambulia Dkt Mwigulu Nchemba tunakuona kama mjinga fulani tu, yaani kabisa unahisi Tozo zilitungwa nyumbani kwa Mwigulu na kuletwa directly kwa wananchi? utakuwa una Matatizo ya ubongo wewe.

kuhusu PhD ya Dkt Mwigulu Lameck Nchemba, ebu nenda wewe pale chamber UDSM ukapewe hiyo PhD tuone kama ni rahisi hivyo. Kwa wasiofahamu tu Dkt Mwigulu Lameck Nchemba alikuwa ni mwanzafunzi bora kati ya wanafunzi watatu waliohitimu mwaka wake wa shahada ya kwanza, ndipo BOT ikamuchukua akiwa anagombaniwa na taasisi kubwa ulimwenguni. Ni baraka kuwa na msomi kama Mwigulu hapa nchini, wengi wamekimbia hii nchi kwa sababu ya maneno maneno haya yasiyokuwa na kichwa wala miguu.

Wote ni mashahidi Dunia inapita kwenye anguko la uchumi, lakini Tanzania imebaki kuwa stable kwasababu ya Njia na Mipango ya Mwigulu, tunaigiza kama hatuoni jitihada zake kwasababu tu ni mbaya wetu wa kisiasa, tunaleta ushamba kwenye mambo muhimu. World Bank yenyewe imekiri tanzania imefanikiwa kubaki katika Hali nzuri pamoja na majanga ya vita na COVID. Hao wazungu wanaokaa na kina Lissu mavikao Kila siku ndio wamewaagiza mawaziri wa mataifa mbalimbali kwenda Kwa Dkt Mwigulu kujifunza namna alivyodhibiti mfumuko wa Bei na ku- stabilize uchumi wa Tanzania.

Dkt Mwigulu Lameck Nchemba Kapokea Wizara nyeti Kipindi ambacho Dunia imetususa, Dunia imetuweka katika Dustbin, Tumpongeze Mwigulu na sio kumuundia Propaganda za kijingajinga.

Mimi niendelee kuwasihi viongozi wa upinzani waliokomaa kuwafunda vijana wao namna ya kujenga hoja zao bila kuingiza hisia za kitoto.
 
Huyu Waziri wa fedha anayeamini katika kukopa na kuwekeza kwenye Ujenzi wa madarasa na zahanati badala ya kuwekeza kwenye Kilimo cha kisasa ili tupate pesa za kigeni na kuongeza ajira!
 
Huyu Waziri wa fedha anayeamini katika kukopa na kuwekeza kwenye Ujenzi wa madarasa na zahanati badala ya kuwekeza kwenye Kilimo cha kisasa ili tupate pesa za kigeni na kuongeza ajira!
Unajua bajeti ya kilimo ilikuwa Sh ngapi na Sasa ni shi ngapi?

Hivi Huwa unafikiria kabla hujaandika?
 
Basi sawa
EF19084A-41EF-4999-82E7-9BBEDC985223.jpeg
 
Unajua bajeti ya kilimo ilikuwa Sh ngapi na Sasa ni shi ngapi?

Hivi Huwa unafikiria kabla hujaandika?
Kwani Kuna tofauti gani ilipokuwa Bilioni 250 na sasa Bilioni 900!
Jifunzeni kufikiri siyo kila kitu mnaleta uchawa tu!
Sasa sekta iliyoajiri 70% ya WATANZANIA ya kutengew hela ndogo kama iyo?Think big Mkuu!
 
Unajua bajeti ya kilimo ilikuwa Sh ngapi na Sasa ni shi ngapi?

Hivi Huwa unafikiria kabla hujaandika?
Hivi sasa, miradi mikubwa ya maji katika miji 28 nchi nzima inaendelea yenye thamani ya TZS 1 trillion.
Bajeti ya Kilimo ni Bil.954/-, kubwa zaidi kuwahi kutokea nchini.
Umeme unasambazwa vizuri.
Utalii unakua
Barabara zinajengwa
Elimu inaimarishwa
Unapata wapi nguvu ya kupuuza Juhudi za Dkt Mwigulu Lameck Nchemba?
 
Kwani Kuna tofauti gani ilipokuwa Bilioni 250 na sasa Bilioni 900!
Jifunzeni kufikiri siyo kila kitu mnaleta uchawa tu!
Sasa sekta iliyoajiri 70% ya WATANZANIA ya kutengew hela ndogo kama iyo?Think big Mkuu!
Hivi sasa, miradi mikubwa ya maji katika miji 28 nchi nzima inaendelea yenye thamani ya TZS 1 trillion.
Bajeti ya Kilimo ni Bil.954/-, kubwa zaidi kuwahi kutokea nchini.
Umeme unasambazwa vizuri.
Utalii unakua
Barabara zinajengwa
Elimu inaimarishwa
Unapata wapi nguvu ya kupuuza Juhudi za Dkt Mwigulu Lameck Nchemba?
 
Bajeti ya kilimo cha umwagiliaji 2022/23 ni 76% ya bajeti yote ya Wizara ya Kilimo, ambapo ni zaidi ya robo 3 ya bajeti yote ya Wizara ya Kilimo. Unaanzaje kupuuza jitihada za Mchumi wa Daraja la juu Benki ya Dunia?
 
1669704612209.png

Hivi unawezaje kutuhumu PhD ya Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kwasababu katoa speech ambayo haikipendezi chama unachokiamini?
Hivi unawezaje kumchukia mtu kwasababu tu akisimama jukwaani anaweka hadharani uzandiki wenu mnafanya dhidi ya watanzania?
 
Kwenye Umwagiliaji: Bajeti ya 2021/22 ilikuwa TZS 54bn/-, 2022/23 ni TZS 366bn/-.

Kuna 188,000ha exclusively kwa vijana, with TZS 200bn/- in loans.

As we speak, interests ya Mikopo ya Kilimo imeshushwa, from 20% to 9%, haijpata kutokea. Niendelee?
 
Maafisa ugani ni watu muhimu katika maendeleo ya kilimo nchini, kwa kutambua hilo Dkt Mwigulu Nchemba ameongeza bajeti ya Maafisa hao kutoka 603m hadi 11.5 bilioni.

Kupita bajeti ya Wizara ya Kilimo 2022/23 Serikali imeanza kujenga viwanda vikubwa vitatu vya kuchakatia nafaka mbalimbali nchini. Viwanda hivyo vinajengwa Mbeya, Dar es Salaam na Mwanza.

Mbeya ni eneo ambalo reli ya TAZARA imepita, hii ni fursa kwa Tanzania kwani itaweza kusafirisha bidhaa kwa shehena kubwa zaidi kupitia reli kwenda katika mikoa mingine na nchi jirani, hivyo kuliongezea taifa mapato.
 
Dkt Mwigulu Nchemba ni mtu sahihi kwa wakati sahihi.

Nimesoma andiko la mwanajf mmoja humu, amemshutumu sana Dkt Mwigulu Nchemba bila hoja za msingi, kama kawaida ya wabongo bongolala. Hivi unawezaje kutuhumu PhD ya Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kwasababu katoa speech ambayo haikipendezi chama unachokiamini?
Hivi unawezaje kumchukia mtu kwasababu tu akisimama jukwaani anaweka hadharani uzandiki wenu mnafanya dhidi ya watanzania?

Bahati mbaya sana vyama vya upinzani vimezalisha vijana wa hovyo, wasiweza kujadili hoja, wametanguliza mbele hisia za kisiasa kuliko uhalisia wala hoja.

Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amesema tuache kujipa kiherehere cha kuorodhesha matatizo ambayo hayapo na wakati mwingine Matatizo hayo tayari yanakuwa yameshachukuliwa hatua na Serikali, unakuta chama fulani kinakazana kujadili tatizo ambalo tayari limetatuliwa, na hii yote ni kutokana na kukosa ajenda za kuibana Serikali mnabaki mnaokoteza vihoja barabarani na kuja kuwalisha upepo wafuasi wenu ambao wamejawa na hisia za ujinga na uzwazwa.

Dkt Mwigulu Lameck Nchemba ni mtu sahihi kwa kipindi hiki kwasababu ni full package yaani Kiraka, ni mchumi wa daraja la juu pale benki ya dunia, ni strategist wa kupambana na mifumo ya bei, ni mwanasiasa nguli ukimletea za kisiasa anaenda na wewe mazianamazima unabaki kulialia.

Tuliataka kumhukumu kwa tozo lakini alikuwa sahihi kabisa Kwasababu Fedha hizo zilikuwa zije kufuta kabisa kadhia ya Ukosefu wa mikopo ya Elimu ya Juu, wote ni mashahidi leo wanafunzi wamekosa mikopo kwasababu tu tozo zimeondolewa baada ya wajuaji kujipa umuhimu wa kuleta makelele ya kijinga bila kuwaza kitatokea nini uko mbeleni.

Na Tozo ni maamuzi ya Serikali nzima unapokuja kumshambulia Dkt Mwigulu Nchemba tunakuona kama mjinga fulani tu, yaani kabisa unahisi Tozo zilitungwa nyumbani kwa Mwigulu na kuletwa directly kwa wananchi? utakuwa una Matatizo ya ubongo wewe.

kuhusu PhD ya Dkt Mwigulu Lameck Nchemba, ebu nenda wewe pale chamber UDSM ukapewe hiyo PhD tuone kama ni rahisi hivyo. Kwa wasiofahamu tu Dkt Mwigulu Lameck Nchemba alikuwa ni mwanzafunzi bora kati ya wanafunzi watatu waliohitimu mwaka wake wa shahada ya kwanza, ndipo BOT ikamuchukua akiwa anagombaniwa na taasisi kubwa ulimwenguni. Ni baraka kuwa na msomi kama Mwigulu hapa nchini, wengi wamekimbia hii nchi kwa sababu ya maneno maneno haya yasiyokuwa na kichwa wala miguu.

Wote ni mashahidi Dunia inapita kwenye anguko la uchumi, lakini Tanzania imebaki kuwa stable kwasababu ya Njia na Mipango ya Mwigulu, tunaigiza kama hatuoni jitihada zake kwasababu tu ni mbaya wetu wa kisiasa, tunaleta ushamba kwenye mambo muhimu. World Bank yenyewe imekiri tanzania imefanikiwa kubaki katika Hali nzuri pamoja na majanga ya vita na COVID. Hao wazungu wanaokaa na kina Lissu mavikao Kila siku ndio wamewaagiza mawaziri wa mataifa mbalimbali kwenda Kwa Dkt Mwigulu kujifunza namna alivyodhibiti mfumuko wa Bei na ku- stabilize uchumi wa Tanzania.

Dkt Mwigulu Lameck Nchemba Kapokea Wizara nyeti Kipindi ambacho Dunia imetususa, Dunia imetuweka katika Dustbin, Tumpongeze Mwigulu na sio kumuundia Propaganda za kijingajinga.

Mimi niendelee kuwasihi viongozi wa upinzani waliokomaa kuwafunda vijana wao namna ya kujenga hoja zao bila kuingiza hisia za kitoto.
🚮
 
Kwenye Umwagiliaji: Bajeti ya 2021/22 ilikuwa TZS 54bn/-, 2022/23 ni TZS 366bn/-.

Kuna 188,000ha exclusively kwa vijana, with TZS 200bn/- in loans.

As we speak, interests ya Mikopo ya Kilimo imeshushwa, from 20% to 9%, haijpata kutokea. Niendelee?
🚮
 
Maafisa ugani ni watu muhimu katika maendeleo ya kilimo nchini, kwa kutambua hilo Dkt Mwigulu Nchemba ameongeza bajeti ya Maafisa hao kutoka 603m hadi 11.5 bilioni.

Kupita bajeti ya Wizara ya Kilimo 2022/23 Serikali imeanza kujenga viwanda vikubwa vitatu vya kuchakatia nafaka mbalimbali nchini. Viwanda hivyo vinajengwa Mbeya, Dar es Salaam na Mwanza.

Mbeya ni eneo ambalo reli ya TAZARA imepita, hii ni fursa kwa Tanzania kwani itaweza kusafirisha bidhaa kwa shehena kubwa zaidi kupitia reli kwenda katika mikoa mingine na nchi jirani, hivyo kuliongezea taifa mapato.
🚮
 
Back
Top Bottom