acer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 1,595
- 142
Katika ziara hiyo pamoja na kuzungumzia masuala mbalimbali ya kitaifa kama uchumi na mwenendo wa bunge la katiba
Lakini wananchi hao walitoa rai kwa kusema urais ni taswira ya Taifa na unabeba dhamana nzito. Ni lazima basi tumtathimini mtu yeyote anayetaka kuwa Rais wetu kwa jicho kali na macho mapana katika kila hali aliyo nayo: maneno yake, matendo yake, haiba yake, akili yake, afya yake, n.k.
Na kwa maana hiyo wao wanamwomba mh Mwigulu Nchemba awe rais wa Tanzania 2015 na akubali heshima kwa kuwa wako nyuma yake
Lakini wananchi hao walitoa rai kwa kusema urais ni taswira ya Taifa na unabeba dhamana nzito. Ni lazima basi tumtathimini mtu yeyote anayetaka kuwa Rais wetu kwa jicho kali na macho mapana katika kila hali aliyo nayo: maneno yake, matendo yake, haiba yake, akili yake, afya yake, n.k.
Na kwa maana hiyo wao wanamwomba mh Mwigulu Nchemba awe rais wa Tanzania 2015 na akubali heshima kwa kuwa wako nyuma yake