Mwigulu Nchemba akiwa ziarani Singida

Mwigulu Nchemba akiwa ziarani Singida

hahahahaha hata huyu...kwa lipi alilolifanyia taifa letu....aisee kama ndio hivyo hata mimi natangaza nia
 
Mbona serikali kupitia Mwigulu Nchemba ameshughulikia matatizo yao ya madeni naona sasa wamekuja na vyeo usijali jamaa yupo kwa ajili ya wananchi na anatuangalia kero kwa wakati.

Madeni hujaona waalimu wakiandamana ofisi ya mkurugenzi kasuli juzi juzi!!

Bora kuuza bata kuliko Mwigulu hauziki hata kwa mkopo.
 
hahahahhaa ccm ni mavi kweli awe raisi alafu hapa anajipa kichwa kwel kama zuzu
 
Yuko kwenye mgomo baridi maana alishasema kuwa kuendelea na bunge la katiba ni sawa na kufuja ela za watanzania.
 
Lengo la ziara ni kupokea mahindi na maboga?Hizo nguo na kofia inabidi aulizwe
 
Back
Top Bottom