Mwigulu Nchemba akiwa ziarani Singida

Mwigulu Nchemba akiwa ziarani Singida


Kwa mbaaaali naona nyumba za tembe full suti juu hadi chini!!!! Tunamatumani na mwigulu aaaaaah aaaah. Kwa maisha mgumu na umasikini uliopindukia, mlo mmoja, ukosefu wa maji, shule zilivyochoka huku wanafunzi wakiwa peku au yebo iliyofungwa na wire nk. haiwezekani kuwa na matumaini hawa ni watu wamekata tamaa. Huwezi ukajisifia mtetezi wa wanyonge kwa kutumia umasikini wao na ulalahoi wao kunufaika kisiasa kwa kuwagawia tshirt na kanga ili waje kwenye mikutano yako. Mwambieni mwigulu aende Arusha au kilimanjaro akawadanganye. Masikini wanasingida mtafia kwenye huo umasikini jifunzeni kwa walioendelea.!!!!
 
View attachment 182570View attachment 182571View attachment 182573View attachment 182574View attachment 182575View attachment 182576View attachment 182578View attachment 182579
Katika ziara hiyo pamoja na kuzungumzia masuala mbalimbali ya kitaifa kama uchumi na mwenendo wa bunge la katiba
Lakini wananchi hao walitoa rai kwa kusema urais ni taswira ya Taifa na unabeba dhamana nzito. Ni lazima basi tumtathimini mtu yeyote anayetaka kuwa Rais wetu kwa jicho kali na macho mapana katika kila hali aliyo nayo: maneno yake, matendo yake, haiba yake, akili yake, afya yake, n.k.
Na kwa maana hiyo wao wanamwomba mh Mwigulu Nchemba awe rais wa Tanzania 2015 na akubali heshima kwa kuwa wako nyuma yake

Aaaaaah aaaaah! ok kumbe unamaanisha raisi wa watekaji na watesaji au wawaendesha bodaboda
 
hapo anachagua wa ku-du nae!

Hayo ni mambo ya ukawa na hasa babu Slaa ImageUploadedByJamiiForums1409807138.757036.jpg
 
kikwete ameufanya urais uwe kitu kidogo sana, hata mwigulu? duhh
 
Safi Mwigulu ww ni mtetezi wa wanyonge

Wapi hao maana amewaweka kitanzini Wakurugenzi??!!!

KIMENUKA
BARAZA la Taifa la Chama cha
Walimu Tanzania (CWT), limetoa
siku 14 kwa wakurugenzi wa
halmshauri nchini kuwapa barua za
kuwapandisha vyeo walimu
wanaostahili la sivyo watafanya
maandamano nchi nzima.
Akizungumza na waandishi wa
habari jijini Dar es Salaam jana, Rais
wa CWT, Gratian Mukoba, alisema
maazimio ya baraza hilo yalifikiwa
tarehe 28 mwezi uliyopita mkoani
Morogoro.
Mukoba, alisema ifikapo Septemba
15 mwaka huu kama wakurugenzi
watakuwa hawajawapatia walimu
wanaostahili barua za kuwapandisha
vyeo, basi watarajie maandamano ya
walimu kwenye ofisi zao.
“Baraza limetoa siku 14 kuanzia
siku ya kikao na ifikapo siku ya
tarehe 15 kama walimu wanaostahili
kupandishwa vyeo watakuwa
hawajapewa barua zao, kutafanyika
maandano ya nchi nzima kuelekea
kwa wakurugenzi wa halmashauri
kudai barua hizo, hatupendi hali hii
itokee lakini hatufurahishwi na hali
ya kutojali haki zetu,” alisema
Mukoba.
Aidha, Mukoba alisema Baraza
limekemea tabia ya serikali ya
kuwanyang’anya walimu madaraja
ambayo tayari wamekwishayapokea
kwa kisingizio cha kutokuwapo
fedha za kulipa.
Alisema hata nyongeza ya
mishahara iliyotolewa Julai mwaka
huu imepingwa na walimu nchi
nzima, kwani mbali ya kuwa ndogo
sana imetolewa kwa upendeleo na
walimu wanataka kujua ni kwanini
watumishi wengine waongezwe
kwa asilimia kumi na walimu
asilimia 6.35.
 
Tujenge utamaduni wa kuheshimu mawazo ya wananchi walio wengi
Yakiwemo haya! Ya wafanyakazi waliowengi! na yanayohusu ghiliba, ukatili na manyanyaso ya wizara ya fedha kwa waalimu!


BARAZA la Taifa la Chama cha
Walimu Tanzania (CWT), limetoa
siku 14 kwa wakurugenzi wa
halmshauri nchini kuwapa barua za
kuwapandisha vyeo walimu
wanaostahili la sivyo watafanya
maandamano nchi nzima.
Akizungumza na waandishi wa
habari jijini Dar es Salaam jana, Rais
wa CWT, Gratian Mukoba, alisema
maazimio ya baraza hilo yalifikiwa
tarehe 28 mwezi uliyopita mkoani
Morogoro.
Mukoba, alisema ifikapo Septemba
15 mwaka huu kama wakurugenzi
watakuwa hawajawapatia walimu
wanaostahili barua za kuwapandisha
vyeo, basi watarajie maandamano ya
walimu kwenye ofisi zao.
“Baraza limetoa siku 14 kuanzia
siku ya kikao na ifikapo siku ya
tarehe 15 kama walimu wanaostahili
kupandishwa vyeo watakuwa
hawajapewa barua zao, kutafanyika
maandano ya nchi nzima kuelekea
kwa wakurugenzi wa halmashauri
kudai barua hizo, hatupendi hali hii
itokee lakini hatufurahishwi na hali
ya kutojali haki zetu,” alisema
Mukoba.
Aidha, Mukoba alisema Baraza
limekemea tabia ya serikali ya
kuwanyang’anya walimu madaraja
ambayo tayari wamekwishayapokea
kwa kisingizio cha kutokuwapo
fedha za kulipa.
Alisema hata nyongeza ya
mishahara iliyotolewa Julai mwaka
huu imepingwa na walimu nchi
nzima, kwani mbali ya kuwa ndogo
sana imetolewa kwa upendeleo na
walimu wanataka kujua ni kwanini
watumishi wengine waongezwe
kwa asilimia kumi na walimu
asilimia 6.35.
 
Urais ni ngoma nyingine ambayo mwigulu hawezi kucheza mtieni moyo tu
 
kikwete ameufanya urais uwe kitu kidogo sana, hata mwigulu? duhh

Kutoka tanuru la fikra pitia ukasome
KUTOKA RAIA MWEMA
Sifa bora za mgombea kiti cha Urais (Zipo 6 zimeanza na 2)
i) Uamnifu
ii) Haiba ni Uvumilivu
Binafsi naona kama mchambuzi bado haamini kama upinzani unaweza kutoa mgombea bora 2015 Hivyo kufanya CCM ibaki ikijitathmini katika kinyang'anyiro hicho hebu soma nawe hapo chini....
Kigezo cha kwanza ni uaminifu. Ili Rais aweze kukamilisha ajenda yake, ni lazima aaminike kwa watu anaowaongoza. Bila watu kumuamini hakuna atakachofanya na watu wakakikubali. Kama watu hamwamini Rais itasababisha wabunge na vyombo vingine vya dola kuanza kumtilia shaka katika utendaji wake na hii itasababisha programu zake nyingi zikwame kwa sababu ufanisi wake unategemea kuungwa mkono na vyombo vingine vya dola likiwamo Bunge.
Tukumbuke pia kwamba Rais wa nchi ndiye msuluhishi mkuu wa migogoro katika nchi. Ili aweze kufanya kazi hii kwa ufanisi ni lazima aaminike.
Ili Rais aweze kuaminika yampasa kuwa na historia ya kusema ukweli. Kwa hiyo kwa kutumia kigezo hiki, tutadadisi kila mgombea ni kwa kiasi gani amekuwa mkweli katika maisha yake binafsi na ya umma na kama amewahi kudanganya katika kazi nyingine ambazo amewahi kufanya.
Tutadadisi pia ni kwa kiasi gani kila mgombea amekuwa akitenda anachosema na ujasiri wa kutenda jambo ambalo anaamini ni sahihi bila kujali kiwango cha kuungwa mkono au kupingwa kwake.
Kigezo cha pili katika sifa ya haiba ni uvumilivu. Urais ni kazi ya shutuma. Ni kazi ambayo muda mwingi utapingwa, kuchekwa, kukejeliwa, kutukanwa na hata kuzomewa.
Kwa hivyo, Rais lazima awe na uwezo wa kukabili hasira na awe na uwezo wa kusikiliza kila aina ya mtu na hasa wale watu ambao wanampinga.
Hii inamaanisha pia kwamba Rais lazima mara zote awe na moyo wa kusamehe. Mtu aliyezoea kusifiwa tu hafai kuwa Rais na hawezi kufanya kazi ya urais ama sivyo atalazimika kuwa mbabe na dikteta.
Rais mbabe hatufai kwa sababu kazi yenyewe ya urais inampa mtu maguvu ya kutisha kikatiba na kisheria.
Katika kupima wagombea wetu kwa kigezo hiki, tutadodosa maisha yao huko nyuma walipofanya kazi ili kujaribu kupima kiwango chao cha uvumilivu walipokuwa wanapambana na watu ambao walitofautiana nao kimtazamo na kimaono.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-2015-sifa-ni-hizi#sthash.CmX275RO.dpuf
 
Yakiwemo haya! Ya wafanyakazi waliowengi! na yanayohusu ghiliba, ukatili na manyanyaso ya wizara ya fedha kwa waalimu!


BARAZA la Taifa la Chama cha
Walimu Tanzania (CWT), limetoa
siku 14 kwa wakurugenzi wa
halmshauri nchini kuwapa barua za
kuwapandisha vyeo walimu
wanaostahili la sivyo watafanya
maandamano nchi nzima.
Akizungumza na waandishi wa
habari jijini Dar es Salaam jana, Rais
wa CWT, Gratian Mukoba, alisema
maazimio ya baraza hilo yalifikiwa
tarehe 28 mwezi uliyopita mkoani
Morogoro.
Mukoba, alisema ifikapo Septemba
15 mwaka huu kama wakurugenzi
watakuwa hawajawapatia walimu
wanaostahili barua za kuwapandisha
vyeo, basi watarajie maandamano ya
walimu kwenye ofisi zao.
“Baraza limetoa siku 14 kuanzia
siku ya kikao na ifikapo siku ya
tarehe 15 kama walimu wanaostahili
kupandishwa vyeo watakuwa
hawajapewa barua zao, kutafanyika
maandano ya nchi nzima kuelekea
kwa wakurugenzi wa halmashauri
kudai barua hizo, hatupendi hali hii
itokee lakini hatufurahishwi na hali
ya kutojali haki zetu,” alisema
Mukoba.
Aidha, Mukoba alisema Baraza
limekemea tabia ya serikali ya
kuwanyang’anya walimu madaraja
ambayo tayari wamekwishayapokea
kwa kisingizio cha kutokuwapo
fedha za kulipa.
Alisema hata nyongeza ya
mishahara iliyotolewa Julai mwaka
huu imepingwa na walimu nchi
nzima, kwani mbali ya kuwa ndogo
sana imetolewa kwa upendeleo na
walimu wanataka kujua ni kwanini
watumishi wengine waongezwe
kwa asilimia kumi na walimu
asilimia 6.35.

Mbona serikali kupitia Mwigulu Nchemba ameshughulikia matatizo yao ya madeni naona sasa wamekuja na vyeo usijali jamaa yupo kwa ajili ya wananchi na anatuangalia kero kwa wakati.
 
Urais ni ngoma nyingine ambayo mwigulu hawezi kucheza mtieni moyo tu

Naona wewe una majibu ya maswali zaidi ya wasahihishaji yan wananchi walio wengi wanamtaka agombee wewe uliye mchache unasema hawezi
 
Kwa mbaaaali naona nyumba za tembe full suti juu hadi chini!!!! Tunamatumani na mwigulu aaaaaah aaaah. Kwa maisha mgumu na umasikini uliopindukia, mlo mmoja, ukosefu wa maji, shule zilivyochoka huku wanafunzi wakiwa peku au yebo iliyofungwa na wire nk. haiwezekani kuwa na matumaini hawa ni watu wamekata tamaa. Huwezi ukajisifia mtetezi wa wanyonge kwa kutumia umasikini wao na ulalahoi wao kunufaika kisiasa kwa kuwagawia tshirt na kanga ili waje kwenye mikutano yako. Mwambieni mwigulu aende Arusha au kilimanjaro akawadanganye. Masikini wanasingida mtafia kwenye huo umasikini jifunzeni kwa walioendelea.!!!!

Mmmmh hebu pitia website ya BoT upate takwimu za uchumi zilivyokuwa kwa miezi3 iliyopita pitia pia upate kufahamu kwa kiasi gani makusanyo ya kodi yameongezeka kwa % kisha utajua kwanini huyu mh wananchi walio wengi wanataka agombee urais 2015 ili abadilishe mambo mengi
 
Mmmmh hebu pitia website ya BoT upate takwimu za uchumi zilivyokuwa kwa miezi3 iliyopita pitia pia upate kufahamu kwa kiasi gani makusanyo ya kodi yameongezeka kwa % kisha utajua kwanini huyu mh wananchi walio wengi wanataka agombee urais 2015 ili abadilishe mambo mengi

Aaaah aaaaah hayo makusanyo alianza kuyaongoza kwa kasi Mkapa. Hayajawahi kushuka hata siku moja na hali ya taifa ndio hii hii. Ufisadi mtupu hamna lolote. Sema mnakusanya za uchaguzi mwakani.
 
Back
Top Bottom