Punda wa madawa ya kulevya ya vigogo.Na kweli, maana tuna punda wa unga, punda wa kucha, punda wa meno, punda wa risasi, punda wa bomoa bomoa, punda wa kukwepa kodi, punda wa kamat kamata ya polisi na JWTZ, punda wa..... punda wa......
MH>MWIGULU LAMECK NCHEMBA AMVAA DR.SLAA NA CHADEMA YAKE,AMUSIHI DR.SLAA AREJEE KUCHUNGA KONDOO WA BWANA KWA SABABU MUNGU ANASEMA HATAKAMA DHAMBI ZAKO NI NYEKUNDU KAMA DAMU,ATAZITAKASA NA KUWA NYEUPE KAMA THERUJI.
AFANIKISHA HARAMBEE YA TSH.MILIONI 19,AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE IRAMBA MAGHARIBI.
Naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa jimbo la Iramba magharibi ameshiriki kikamilifu kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa wilaya ya singida Vijijini,kata ya Kijota Usharika wa Mijuhu jimbo la Mashariki Dayosisi ya kati KKKT.
Mbunge huyo amefanikisha upatikanaji wa Tsh.Milioni 19 na laki tisa na themanini.Pia amefakisha upatikanaji wa viti 500 vya plastic kama hatua ya awali katika kufanikisha ujenzi wa kanisa hilo.
Ikumbukwe Mbunge huyo anayevuma kwenye medani za siasa yawezekana kuliko mbunge yeyote kwa sasa hapa nchini,yupo jimboni kwake kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo.Jana alianza kwa kufanya vikao vya ndani na madiwani na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Pia siku ya jana alitumia kuhamasisha michezo jimboni kwake na wilaya mpya ya Mkalama ambapo Mbunge huyo alishiriki kucheza mechi ya mpira wa miguu akiwa upande wa madiwani.
Kwenye harambee ya leo mbunge huyo Mh.Mwigulu Lameck nchemba madelu alitumia nafasi kuongea na washarika na wananchi wa kata ya kijota,kijiji cha Ikuwi kuwaomba kuachana na tabia ya kulishwa maneno na wanasiasa na viongozi mbalimbali kuhusu serikali yao eti haifanyi kazi.
Amesisitiza kuwa endapo wananchi na viongozi wa vyama vya siasa wangemrudia mungu,wangejikita kusaidia ujenzi wa nyumba za ibada,kushiriki kwenye huduma za kiroho leo hii Tanzania tusingekuwa na aina hii ya viongozi wa vyama vya siasa hasa upinzani wenye uroho wa madaraka,wanaomwaga damu za watanzania ili tu wapate madaraka ndani ya nchi hii.
Mh.Mwigulu nchemba amekwenda mbali zaidi kwa kulaani vikali kauli ya kiongozi wa CHADEMA Dr.slaa yakuwambia viongozi wa dini waache kuombea amani ya nchi.Amesema viongozi kama hao ni wakupuuzwa kabisa kabisa,na niwazi Dr.slaa na chama chake hana nia njema kwa nchi yetu.Ni kwasababu aliachana na misingi ya dini na kiroho ndio maana uwezo wake wa kufikiri kuhusu amani ya nchi ni hafifu kupita kiasi.
Leo Mh.Mwigulu Nchemba ametembelea ujenzi wa barabara mbali mbali ndani ya jimbo lake.Akiwa ameambatana na DC na Mkurugenzi wa wilaya,Mh.Mwigulu Nchemba ameona ujenzi wa barabara kata ya Kidalu barabara inayounganisha wananchi na makao makuu ya wilaya.
Ni barabara inayojengwa na TANROAD kwa kiwango cha changalawe.Pia amezungukia sehemu kadhaa za barabara zinazotajwa kuwa ni korofi kipindi cha masika,lengo likiwa ni kujenga miundombinu safi kabla masika hayajaanza.
Katika kuonesha mshikamano wa kiutendaji uliopo ndani ya jimbo la Iramba,Mbunge huyo aliambatana na madiwani wa kata na makatibu wake pamoja na viongozi wa serikali + Injinia wa wilaya ilikushauriana namna ya kufanikisha ujenzi imara na bora wa miundombinu ya barabara ndani ya jimbo la Iramba.
MH>MWIGULU LAMECK
NCHEMBA AMVAA DR.SLAA NA CHADEMA YAKE,AMUSIHI DR.SLAA AREJEE KUCHUNGA
KONDOO WA BWANA KWA SABABU MUNGU ANASEMA HATAKAMA DHAMBI ZAKO NI
NYEKUNDU KAMA DAMU,ATAZITAKASA NA KUWA NYEUPE KAMA THERUJI.
AFANIKISHA HARAMBEE YA TSH.MILIONI 19,AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI
KWAKE IRAMBA MAGHARIBI.
Naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa jimbo la Iramba magharibi
ameshiriki kikamilifu kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa wilaya ya
singida Vijijini,kata ya Kijota Usharika wa Mijuhu jimbo la Mashariki
Dayosisi ya kati KKKT.
Mbunge huyo amefanikisha upatikanaji wa Tsh.Milioni 19 na laki tisa na
themanini.Pia amefakisha upatikanaji wa viti 500 vya plastic kama hatua
ya awali katika kufanikisha ujenzi wa kanisa hilo.
Ikumbukwe Mbunge huyo anayevuma kwenye medani za siasa yawezekana kuliko
mbunge yeyote kwa sasa hapa nchini,yupo jimboni kwake kukagua na
kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo.Jana alianza kwa kufanya vikao
vya ndani na madiwani na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Pia siku ya jana alitumia kuhamasisha michezo jimboni kwake na wilaya
mpya ya Mkalama ambapo Mbunge huyo alishiriki kucheza mechi ya mpira wa
miguu akiwa upande wa madiwani.
Kwenye harambee ya leo mbunge huyo Mh.Mwigulu Lameck nchemba madelu
alitumia nafasi kuongea na washarika na wananchi wa kata ya
kijota,kijiji cha Ikuwi kuwaomba kuachana na tabia ya kulishwa maneno na
wanasiasa na viongozi mbalimbali kuhusu serikali yao eti haifanyi kazi.
Amesisitiza kuwa endapo wananchi na viongozi wa vyama vya siasa
wangemrudia mungu,wangejikita kusaidia ujenzi wa nyumba za
ibada,kushiriki kwenye huduma za kiroho leo hii Tanzania tusingekuwa na
aina hii ya viongozi wa vyama vya siasa hasa upinzani wenye uroho wa
madaraka,wanaomwaga damu za watanzania ili tu wapate madaraka ndani ya
nchi hii.
Mh.Mwigulu nchemba amekwenda mbali zaidi kwa kulaani vikali kauli ya
kiongozi wa CHADEMA Dr.slaa yakuwambia viongozi wa dini waache kuombea
amani ya nchi.Amesema viongozi kama hao ni wakupuuzwa kabisa kabisa,na
niwazi Dr.slaa na chama chake hana nia njema kwa nchi yetu.Ni kwasababu
aliachana na misingi ya dini na kiroho ndio maana uwezo wake wa kufikiri
kuhusu amani ya nchi ni hafifu kupita kiasi.
Leo Mh.Mwigulu Nchemba ametembelea ujenzi wa barabara mbali mbali ndani
ya jimbo lake.Akiwa ameambatana na DC na Mkurugenzi wa wilaya,Mh.Mwigulu
Nchemba ameona ujenzi wa barabara kata ya Kidalu barabara
inayounganisha wananchi na makao makuu ya wilaya.
Ni barabara inayojengwa na TANROAD kwa kiwango cha changalawe.Pia
amezungukia sehemu kadhaa za barabara zinazotajwa kuwa ni korofi kipindi
cha masika,lengo likiwa ni kujenga miundombinu safi kabla masika
hayajaanza.
Katika kuonesha mshikamano wa kiutendaji uliopo ndani ya jimbo la
Iramba,Mbunge huyo aliambatana na madiwani wa kata na makatibu wake
pamoja na viongozi wa serikali + Injinia wa wilaya ilikushauriana namna
ya kufanikisha ujenzi imara na bora wa miundombinu ya barabara ndani ya
jimbo la Iramba.
Mkuu uko sahihi,labda niongezee.punda wa mabomu,punda wa udini.Na kweli, maana tuna punda wa unga, punda wa kucha, punda wa meno, punda wa risasi, punda wa bomoa bomoa, punda wa kukwepa kodi, punda wa kamat kamata ya polisi na JWTZ, punda wa..... punda wa......
MH>MWIGULU LAMECK NCHEMBA AMVAA DR.SLAA NA CHADEMA YAKE,AMUSIHI DR.SLAA AREJEE KUCHUNGA KONDOO WA BWANA KWA SABABU MUNGU ANASEMA HATAKAMA DHAMBI ZAKO NI NYEKUNDU KAMA DAMU,ATAZITAKASA NA KUWA NYEUPE KAMA THERUJI.
AFANIKISHA HARAMBEE YA TSH.MILIONI 19,AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE IRAMBA MAGHARIBI.
Naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa jimbo la Iramba magharibi ameshiriki kikamilifu kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa wilaya ya singida Vijijini,kata ya Kijota Usharika wa Mijuhu jimbo la Mashariki Dayosisi ya kati KKKT.
Mbunge huyo amefanikisha upatikanaji wa Tsh.Milioni 19 na laki tisa na themanini.Pia amefakisha upatikanaji wa viti 500 vya plastic kama hatua ya awali katika kufanikisha ujenzi wa kanisa hilo.
Ikumbukwe Mbunge huyo anayevuma kwenye medani za siasa yawezekana kuliko mbunge yeyote kwa sasa hapa nchini,yupo jimboni kwake kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo.Jana alianza kwa kufanya vikao vya ndani na madiwani na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Pia siku ya jana alitumia kuhamasisha michezo jimboni kwake na wilaya mpya ya Mkalama ambapo Mbunge huyo alishiriki kucheza mechi ya mpira wa miguu akiwa upande wa madiwani.
Kwenye harambee ya leo mbunge huyo Mh.Mwigulu Lameck nchemba madelu alitumia nafasi kuongea na washarika na wananchi wa kata ya kijota,kijiji cha Ikuwi kuwaomba kuachana na tabia ya kulishwa maneno na wanasiasa na viongozi mbalimbali kuhusu serikali yao eti haifanyi kazi.
Amesisitiza kuwa endapo wananchi na viongozi wa vyama vya siasa wangemrudia mungu,wangejikita kusaidia ujenzi wa nyumba za ibada,kushiriki kwenye huduma za kiroho leo hii Tanzania tusingekuwa na aina hii ya viongozi wa vyama vya siasa hasa upinzani wenye uroho wa madaraka,wanaomwaga damu za watanzania ili tu wapate madaraka ndani ya nchi hii.
Mh.Mwigulu nchemba amekwenda mbali zaidi kwa kulaani vikali kauli ya kiongozi wa CHADEMA Dr.slaa yakuwambia viongozi wa dini waache kuombea amani ya nchi.Amesema viongozi kama hao ni wakupuuzwa kabisa kabisa,na niwazi Dr.slaa na chama chake hana nia njema kwa nchi yetu.Ni kwasababu aliachana na misingi ya dini na kiroho ndio maana uwezo wake wa kufikiri kuhusu amani ya nchi ni hafifu kupita kiasi.
Leo Mh.Mwigulu Nchemba ametembelea ujenzi wa barabara mbali mbali ndani ya jimbo lake.Akiwa ameambatana na DC na Mkurugenzi wa wilaya,Mh.Mwigulu Nchemba ameona ujenzi wa barabara kata ya Kidalu barabara inayounganisha wananchi na makao makuu ya wilaya.
Ni barabara inayojengwa na TANROAD kwa kiwango cha changalawe.Pia amezungukia sehemu kadhaa za barabara zinazotajwa kuwa ni korofi kipindi cha masika,lengo likiwa ni kujenga miundombinu safi kabla masika hayajaanza.
Katika kuonesha mshikamano wa kiutendaji uliopo ndani ya jimbo la Iramba,Mbunge huyo aliambatana na madiwani wa kata na makatibu wake pamoja na viongozi wa serikali + Injinia wa wilaya ilikushauriana namna ya kufanikisha ujenzi imara na bora wa miundombinu ya barabara ndani ya jimbo la Iramba.
MH>MWIGULU LAMECK NCHEMBA AMVAA DR.SLAA NA CHADEMA YAKE,AMUSIHI DR.SLAA AREJEE KUCHUNGA KONDOO WA BWANA KWA SABABU MUNGU ANASEMA HATAKAMA DHAMBI ZAKO NI NYEKUNDU KAMA DAMU,ATAZITAKASA NA KUWA NYEUPE KAMA THERUJI.
AFANIKISHA HARAMBEE YA TSH.MILIONI 19,AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE IRAMBA MAGHARIBI.
Naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa jimbo la Iramba magharibi ameshiriki kikamilifu kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa wilaya ya singida Vijijini,kata ya Kijota Usharika wa Mijuhu jimbo la Mashariki Dayosisi ya kati KKKT.
Mbunge huyo amefanikisha upatikanaji wa Tsh.Milioni 19 na laki tisa na themanini.Pia amefakisha upatikanaji wa viti 500 vya plastic kama hatua ya awali katika kufanikisha ujenzi wa kanisa hilo.
Ikumbukwe Mbunge huyo anayevuma kwenye medani za siasa yawezekana kuliko mbunge yeyote kwa sasa hapa nchini,yupo jimboni kwake kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo.Jana alianza kwa kufanya vikao vya ndani na madiwani na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Pia siku ya jana alitumia kuhamasisha michezo jimboni kwake na wilaya mpya ya Mkalama ambapo Mbunge huyo alishiriki kucheza mechi ya mpira wa miguu akiwa upande wa madiwani.
Kwenye harambee ya leo mbunge huyo Mh.Mwigulu Lameck nchemba madelu alitumia nafasi kuongea na washarika na wananchi wa kata ya kijota,kijiji cha Ikuwi kuwaomba kuachana na tabia ya kulishwa maneno na wanasiasa na viongozi mbalimbali kuhusu serikali yao eti haifanyi kazi.
Amesisitiza kuwa endapo wananchi na viongozi wa vyama vya siasa wangemrudia mungu,wangejikita kusaidia ujenzi wa nyumba za ibada,kushiriki kwenye huduma za kiroho leo hii Tanzania tusingekuwa na aina hii ya viongozi wa vyama vya siasa hasa upinzani wenye uroho wa madaraka,wanaomwaga damu za watanzania ili tu wapate madaraka ndani ya nchi hii.
Mh.Mwigulu nchemba amekwenda mbali zaidi kwa kulaani vikali kauli ya kiongozi wa CHADEMA Dr.slaa yakuwambia viongozi wa dini waache kuombea amani ya nchi.Amesema viongozi kama hao ni wakupuuzwa kabisa kabisa,na niwazi Dr.slaa na chama chake hana nia njema kwa nchi yetu.Ni kwasababu aliachana na misingi ya dini na kiroho ndio maana uwezo wake wa kufikiri kuhusu amani ya nchi ni hafifu kupita kiasi.
Leo Mh.Mwigulu Nchemba ametembelea ujenzi wa barabara mbali mbali ndani ya jimbo lake.Akiwa ameambatana na DC na Mkurugenzi wa wilaya,Mh.Mwigulu Nchemba ameona ujenzi wa barabara kata ya Kidalu barabara inayounganisha wananchi na makao makuu ya wilaya.
Ni barabara inayojengwa na TANROAD kwa kiwango cha changalawe.Pia amezungukia sehemu kadhaa za barabara zinazotajwa kuwa ni korofi kipindi cha masika,lengo likiwa ni kujenga miundombinu safi kabla masika hayajaanza.
Katika kuonesha mshikamano wa kiutendaji uliopo ndani ya jimbo la Iramba,Mbunge huyo aliambatana na madiwani wa kata na makatibu wake pamoja na viongozi wa serikali + Injinia wa wilaya ilikushauriana namna ya kufanikisha ujenzi imara na bora wa miundombinu ya barabara ndani ya jimbo la Iramba.
Mwigulu = Punda wa mabomu wa CCM na mikanda ya ugaidi ya kughushi!!MH>MWIGULU LAMECK NCHEMBA AMVAA DR.SLAA NA CHADEMA YAKE,AMUSIHI DR.SLAA AREJEE KUCHUNGA KONDOO WA BWANA KWA SABABU MUNGU ANASEMA HATAKAMA DHAMBI ZAKO NI NYEKUNDU KAMA DAMU,ATAZITAKASA NA KUWA NYEUPE KAMA THERUJI.
AFANIKISHA HARAMBEE YA TSH.MILIONI 19,AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE IRAMBA MAGHARIBI.
Naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa jimbo la Iramba magharibi ameshiriki kikamilifu kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa wilaya ya singida Vijijini,kata ya Kijota Usharika wa Mijuhu jimbo la Mashariki Dayosisi ya kati KKKT.
Mbunge huyo amefanikisha upatikanaji wa Tsh.Milioni 19 na laki tisa na themanini.Pia amefakisha upatikanaji wa viti 500 vya plastic kama hatua ya awali katika kufanikisha ujenzi wa kanisa hilo.
Ikumbukwe Mbunge huyo anayevuma kwenye medani za siasa yawezekana kuliko mbunge yeyote kwa sasa hapa nchini,yupo jimboni kwake kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo.Jana alianza kwa kufanya vikao vya ndani na madiwani na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Pia siku ya jana alitumia kuhamasisha michezo jimboni kwake na wilaya mpya ya Mkalama ambapo Mbunge huyo alishiriki kucheza mechi ya mpira wa miguu akiwa upande wa madiwani.
Kwenye harambee ya leo mbunge huyo Mh.Mwigulu Lameck nchemba madelu alitumia nafasi kuongea na washarika na wananchi wa kata ya kijota,kijiji cha Ikuwi kuwaomba kuachana na tabia ya kulishwa maneno na wanasiasa na viongozi mbalimbali kuhusu serikali yao eti haifanyi kazi.
Amesisitiza kuwa endapo wananchi na viongozi wa vyama vya siasa wangemrudia mungu,wangejikita kusaidia ujenzi wa nyumba za ibada,kushiriki kwenye huduma za kiroho leo hii Tanzania tusingekuwa na aina hii ya viongozi wa vyama vya siasa hasa upinzani wenye uroho wa madaraka,wanaomwaga damu za watanzania ili tu wapate madaraka ndani ya nchi hii.
Mh.Mwigulu nchemba amekwenda mbali zaidi kwa kulaani vikali kauli ya kiongozi wa CHADEMA Dr.slaa yakuwambia viongozi wa dini waache kuombea amani ya nchi.Amesema viongozi kama hao ni wakupuuzwa kabisa kabisa,na niwazi Dr.slaa na chama chake hana nia njema kwa nchi yetu.Ni kwasababu aliachana na misingi ya dini na kiroho ndio maana uwezo wake wa kufikiri kuhusu amani ya nchi ni hafifu kupita kiasi.
Leo Mh.Mwigulu Nchemba ametembelea ujenzi wa barabara mbali mbali ndani ya jimbo lake.Akiwa ameambatana na DC na Mkurugenzi wa wilaya,Mh.Mwigulu Nchemba ameona ujenzi wa barabara kata ya Kidalu barabara inayounganisha wananchi na makao makuu ya wilaya.
Ni barabara inayojengwa na TANROAD kwa kiwango cha changalawe.Pia amezungukia sehemu kadhaa za barabara zinazotajwa kuwa ni korofi kipindi cha masika,lengo likiwa ni kujenga miundombinu safi kabla masika hayajaanza.
Katika kuonesha mshikamano wa kiutendaji uliopo ndani ya jimbo la Iramba,Mbunge huyo aliambatana na madiwani wa kata na makatibu wake pamoja na viongozi wa serikali + Injinia wa wilaya ilikushauriana namna ya kufanikisha ujenzi imara na bora wa miundombinu ya barabara ndani ya jimbo la Iramba.
....
....... nafikiri tuna aina nyingi sana za "punda"
....matumizi tu ndo yanatofautiana.......
Mpelekee ujumbe na yeye aache kuwarubuni watoto wa kike anaowasomesha kwa kuwadai ngono!MH>MWIGULU LAMECK NCHEMBA AMVAA DR.SLAA NA CHADEMA YAKE,AMUSIHI DR.SLAA AREJEE KUCHUNGA KONDOO WA BWANA KWA SABABU MUNGU ANASEMA HATAKAMA DHAMBI ZAKO NI NYEKUNDU KAMA DAMU,ATAZITAKASA NA KUWA NYEUPE KAMA THERUJI.
AFANIKISHA HARAMBEE YA TSH.MILIONI 19,AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE IRAMBA MAGHARIBI.
Naibu katibu mkuu wa CCM na mbunge wa jimbo la Iramba magharibi ameshiriki kikamilifu kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa wilaya ya singida Vijijini,kata ya Kijota Usharika wa Mijuhu jimbo la Mashariki Dayosisi ya kati KKKT.
Mbunge huyo amefanikisha upatikanaji wa Tsh.Milioni 19 na laki tisa na themanini.Pia amefakisha upatikanaji wa viti 500 vya plastic kama hatua ya awali katika kufanikisha ujenzi wa kanisa hilo.
Ikumbukwe Mbunge huyo anayevuma kwenye medani za siasa yawezekana kuliko mbunge yeyote kwa sasa hapa nchini,yupo jimboni kwake kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo.Jana alianza kwa kufanya vikao vya ndani na madiwani na viongozi mbalimbali wa chama na serikali.
Pia siku ya jana alitumia kuhamasisha michezo jimboni kwake na wilaya mpya ya Mkalama ambapo Mbunge huyo alishiriki kucheza mechi ya mpira wa miguu akiwa upande wa madiwani.
Kwenye harambee ya leo mbunge huyo Mh.Mwigulu Lameck nchemba madelu alitumia nafasi kuongea na washarika na wananchi wa kata ya kijota,kijiji cha Ikuwi kuwaomba kuachana na tabia ya kulishwa maneno na wanasiasa na viongozi mbalimbali kuhusu serikali yao eti haifanyi kazi.
Amesisitiza kuwa endapo wananchi na viongozi wa vyama vya siasa wangemrudia mungu,wangejikita kusaidia ujenzi wa nyumba za ibada,kushiriki kwenye huduma za kiroho leo hii Tanzania tusingekuwa na aina hii ya viongozi wa vyama vya siasa hasa upinzani wenye uroho wa madaraka,wanaomwaga damu za watanzania ili tu wapate madaraka ndani ya nchi hii.
Mh.Mwigulu nchemba amekwenda mbali zaidi kwa kulaani vikali kauli ya kiongozi wa CHADEMA Dr.slaa yakuwambia viongozi wa dini waache kuombea amani ya nchi.Amesema viongozi kama hao ni wakupuuzwa kabisa kabisa,na niwazi Dr.slaa na chama chake hana nia njema kwa nchi yetu.Ni kwasababu aliachana na misingi ya dini na kiroho ndio maana uwezo wake wa kufikiri kuhusu amani ya nchi ni hafifu kupita kiasi.
Leo Mh.Mwigulu Nchemba ametembelea ujenzi wa barabara mbali mbali ndani ya jimbo lake.Akiwa ameambatana na DC na Mkurugenzi wa wilaya,Mh.Mwigulu Nchemba ameona ujenzi wa barabara kata ya Kidalu barabara inayounganisha wananchi na makao makuu ya wilaya.
Ni barabara inayojengwa na TANROAD kwa kiwango cha changalawe.Pia amezungukia sehemu kadhaa za barabara zinazotajwa kuwa ni korofi kipindi cha masika,lengo likiwa ni kujenga miundombinu safi kabla masika hayajaanza.
Katika kuonesha mshikamano wa kiutendaji uliopo ndani ya jimbo la Iramba,Mbunge huyo aliambatana na madiwani wa kata na makatibu wake pamoja na viongozi wa serikali + Injinia wa wilaya ilikushauriana namna ya kufanikisha ujenzi imara na bora wa miundombinu ya barabara ndani ya jimbo la Iramba.
Mkuu Earthmover,
Nadhani ulikuwa unamaanisaha kuwa Huyu Mtu anayejiita babayako Kama sio Mwigulu Mwenyewe Basi atakuwa ni Mwigulu Nchemba 's Mule (Punda wa Mwigulu )