Acheni kulalamika sasa sie tuwasaidiaje? Nendeni mahakamani tukajue mbivu na mbichi.......kwa hakika viongozi wako wanajua ukweli na sio wewe ndio maana wamefyata mikia
Unajua mara ya kwanza nilivyomsikia mwigulu nchemba bungeni alivyokuwa akichangia bajeti ya 2012 2013 nilishangaa saana kusikia eti ndie mweka hazina mkuu wa ccm, lakini leo sishangaii hata kidogo kusikia mwigulu akiongea hivyo juu ya cdm kwani ni kama witted.Naangalia EATV, namuona Mh. Mwigulu Nchemba akiijadili CHADEMA na moja ya vitu anavyozungumza ni CHADEMA kuwa na makundi mawili huku kundi moja lenye nguvu linaongozwa na wanakaskazini ambao wanawatumia wanachama wao kama karai wakimaliza kazi Yao (CHASATA).
Lakini mheshimiwa alienda mbali zaidi akisema anamshangaa msajili wa vyama vya siasa kwa kukiacha chama hicho kiendelee na kazi huku akijua ni chama kinachopanga mauaji ya watanzania na yeye akiwa na ushahidi wa mkanda video.
Wadau ikoje