Mwigulu: Kuna vyama vinaendeshwa kama SACCOS...

Mwigulu: Kuna vyama vinaendeshwa kama SACCOS...

382551_10201424898532756_271765591_n.jpg

Made in China
 
Hi!kumbe huyu yupo majanga...kaka nne bila.............. People the hate you like pro-democracy only thing you can do chunga matamshi yako mara nyingi , kejeli zinakuharibia sana ,cv wayz kumbuka kuteleza si kuanguka.nadhani umepata majibu picha halisi ya ile single ya ugaidi?
 
...afadhali kuendesha kama saccoss kuliko kuendesha utekaji na kuua watu hadharani....
 
shatani akiwa anakata roho huanza kuropoka hovyo-hovyo.

we call it 'the last kick of dying donkey'
 
Jamani vitu vinavyomuhusu mwigulu peleka jukwaa la utani.
 
Ni aibu mwandishi kwenda kumhoji mtu mwenye mafungamano na shetani.
 
Huyu ni kihiyo.2015 tutamshtaki kwa kosa la kughushi jina la mtu bila idhini yake.
 
Kamata kichwa, piga ukunga
.uuuuuuuuuiiiiiii? Oooo ,mwiguluuul
mbn saccos zinaongozwa vzr tu? Mwigulu nakujua sna.umerudia shule mara 4 unafeli tu, mwishowe ukachukua jina la mtu.jina lako ni la kisukuma.
Mwigulu, vp imekuaje chama kinachoendeshwa ki saccos kikakupiga 4 bila?
Mwigulu, iweje chama kinachoongozwa kifamilia kikushinde mahakaman tena mara 3?
Mwigulu, iweje katibu wako akukimbie na kujiunga chama chz familia? Kumbe cdm ni familia bora inayojua kutunza watoto.ccm imeshindwa kuwatunza watoto wake,matokeo yake inawateka na kuwapiga et kisa watoto wakilalamika njaa. Chama cha kifamilia kimekupga 4 bila.
Hv mwenykt wako amechaguliwa kweli? Hata uchaguz wa serikali ya wanafunz hakuna kitu kinaitwa kypita bila kupingwa.kura za ndiyo na hapana.! Hata mwanamke hachaguliwi hvo
 
Kuna wanasiasa wanaoweza wakasema kitu na ukakielewa lakini si huyu.

Binafsi mimi huwa simchukulii kama ni mwana siasa. Namuona hana sana tofauti na wale wababe wa kijeshi wanaotawala kwa mabavu. Hatari sana kwa taifa changa kama Tanzania kuendesha siasa za kina Mwigulu Nchemba. Watanzania tutakuja juta sana kama tukiipoteza hii amani tuliyonayo kwa miaka mingi. Inasikitisha sana kuona wachache wakiichezea na kuivuruga amani yetu tena kwa juhudi kubwa za makusudi.
 
Aliwahi kuimba ngonjera Mwigulu Nchemba nn,maana kwa hadhi ya chama chake he was supposed to produce material na sio upuuzi anaojibugi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Anaulizwa kuhusu sikukuu ya nanenane anajibu chadema!!!!anaulizwa kuhusu msajili mpya anajibu chadema!!anaulizwa kuhusu msajili aliyeondoka anajibu chadema!!!!! Kweli chadema ndiye jibu la matatizo yote tanzania.
 
Aje kwanza ajibu zile tuhuma za Ugaidi anazosingizia watu zimefikia wapi?
 
laana ya kutumia utambulisho usio wake. Sasa siku ya kuitwa motoni ataitikia jina gani akiitwa?
 
Saccoss kuu kuliko zote ni chama cha gambazi "ccnyem"kwani amesahau kuwa ndiyo sacoss pekee iliyojumuisha Baba(kama mgombea urais),mama(kampeni meneja),mtoto/watoto (tume ya uchaguzi ktk kuratibu matokeo) na alipoulizwa kwanini bwana mkubwa umegeuza ugombea urais kuwa wa kifamilia alijibu maamuzi na utashi wa mimi kuwa raisi si wa wanajumuia au wanachama,hivyo nimeamua mimi kama mimi na familia yangu na ninao uamuzi wa kuteua familia yangu kuhusika na kampeni zangu.
Je kwa muktadha huu hiki ni chama au sacoss?
je hayo amewahi kuyafanya Baba wa taifa kipindi anakiwakilisha chama?
Kumbe tunaweza kupata majibu kutoka mgombea ktk ngazi ya chama na ya yule mgombea kupitia sacoss(familia).
Mugulu kama sio magulu nchembe kwa mtazamo huo tu uliopo ndani ya vyama vya siasa waweza sasa kututajia vyama kwa mfumo wa sacoss?
ili nithibitishe ukweli au ujuha ulionao.
To hell with U,zombie and people'z life hunter!!!
Killing innocent people,what a cursed people are you?
 
Back
Top Bottom