Kamata kichwa, piga ukunga
.uuuuuuuuuiiiiiii? Oooo ,mwiguluuul
mbn saccos zinaongozwa vzr tu? Mwigulu nakujua sna.umerudia shule mara 4 unafeli tu, mwishowe ukachukua jina la mtu.jina lako ni la kisukuma.
Mwigulu, vp imekuaje chama kinachoendeshwa ki saccos kikakupiga 4 bila?
Mwigulu, iweje chama kinachoongozwa kifamilia kikushinde mahakaman tena mara 3?
Mwigulu, iweje katibu wako akukimbie na kujiunga chama chz familia? Kumbe cdm ni familia bora inayojua kutunza watoto.ccm imeshindwa kuwatunza watoto wake,matokeo yake inawateka na kuwapiga et kisa watoto wakilalamika njaa. Chama cha kifamilia kimekupga 4 bila.
Hv mwenykt wako amechaguliwa kweli? Hata uchaguz wa serikali ya wanafunz hakuna kitu kinaitwa kypita bila kupingwa.kura za ndiyo na hapana.! Hata mwanamke hachaguliwi hvo