Jana CUF Maalim ndio walikuwa na Golden Chance kuukomesha uhuni unaoendelea.Wewe ndio kiongozi unayesimamia usalama wa RAIA na Mali zao ndani ya mipaka ya nchi. Sina mashaka na uwezo wako kiutendaji ila mashaka yangu ni jinsi ulivyo geuka bubu tokea upewe wizara hii na hasa unapo paswa kutolea kauli matukio yenye harufu za uhusika wa serikali.
Nikuulize tuu, jee na hili la uvamizi mkutano wa ndani wa CUF na watu kwenye silaha mbalimbali ikiwemo bastola nalo utanyamaza?
Anatajwa Lipumba kuhusika jee utahakikisha polisi wako wanamuondolea "kinga" ya kutokamatwa?
Tunajua pengine kuna uthibiti umefanywa dhidi yako ndio maana hufurukuti, lakini wewe bado kijana na una future katika siasa, mbona unakubali kuififisha? Hujui kimya chako (au woga) unakujengea picha kuwa wewe ni dhaifu na legelege asiye weza madaraka?
Ni katika kipindi chako tuu ndio tumeona silaha zinatolewa kweupe mchana na hakuna anaye chukuliwa hatua huku mamlaka zikihusishwa.
Fanya jambo Mwigulu na heshima yako itasimama juu bila kujali kwa sasa mteuzi atakufanyaje.
kwahiyo unataka hadi polisi wauliwe kama kuku ndo aje atoe tamko????Tafuteni Hoja za msingi
mambo ya Cuf Mwigulu wanini!!
Maalim alivuliwa uongozi anaitisha mkutano wa nini kama sio kuleta vurugu!!
Mwigulu ana mengi yakufanya
afu eti naye anataka awe rais wa nchi. kweli Bongo shamba la bibi!Wewe ndio kiongozi unayesimamia usalama wa RAIA na Mali zao ndani ya mipaka ya nchi. Sina mashaka na uwezo wako kiutendaji ila mashaka yangu ni jinsi ulivyo geuka bubu tokea upewe wizara hii na hasa unapo paswa kutolea kauli matukio yenye harufu za uhusika wa serikali.
Nikuulize tuu, jee na hili la uvamizi mkutano wa ndani wa CUF na watu kwenye silaha mbalimbali ikiwemo bastola nalo utanyamaza?
Anatajwa Lipumba kuhusika jee utahakikisha polisi wako wanamuondolea "kinga" ya kutokamatwa?
Tunajua pengine kuna uthibiti umefanywa dhidi yako ndio maana hufurukuti, lakini wewe bado kijana na una future katika siasa, mbona unakubali kuififisha? Hujui kimya chako (au woga) unakujengea picha kuwa wewe ni dhaifu na legelege asiye weza madaraka?
Ni katika kipindi chako tuu ndio tumeona silaha zinatolewa kweupe mchana na hakuna anaye chukuliwa hatua huku mamlaka zikihusishwa.
Fanya jambo Mwigulu na heshima yako itasimama juu bila kujali kwa sasa mteuzi atakufanyaje.
Sasa hivi nasikiliza Shimita, mpini ulipigwa na Nenechakukwahiyo kichaka umekiona kipo hapa JF ndio maana umesema unataka kunya humu?
Wewe ni mjinga kweli,Lipumba hewa hana mamlaka ya kumvua katibu mkuu wadhifa wake!Umeishia darasa la ngapiTafuteni Hoja za msingi
mambo ya Cuf Mwigulu wanini!!
Maalim alivuliwa uongozi anaitisha mkutano wa nini kama sio kuleta vurugu!!
Mwigulu ana mengi yakufanya