Hayo yote Mwigulu na Nape hayajui. Wao wakifungua midomo wanachoweza kutamka ni CHADEMA, Slaa, Mbowe, kaskazini, ukabila, ukanda, udini na ugaidi. Jiulize ni lini ulimsikia mwenyekiti wao akitamka maneno "ujamaa na kujitegemea". Katika hotuba zake zote sijawahi kumsikia akitamka maneno hayo! Wao waliamua kuweka maandishi hayo kisha wakayaita katiba bila kujua hata maana ya neno katiba ndio maana wanafanya mambo mengine ya kuineza CHADEMA