Mwigulu, CCM hili mnalijua kweli?

Mwigulu, CCM hili mnalijua kweli?

Hayo unayajua wewe na wengine lakini ccm walisha badili kabisa mwelekeo

Wanachama wa T-shits ,kofia na pilau, ahadi na Imani wataziona saangapi.... baada ya mkutano...Diamond, masanga... hayo yalikuwa ya TANU,... wame-copy na paste.... HAYAKO MOYONI...
 
Ndg yangu umeandika mambo mengi sana na tena mazuri yote ila kaa ikijua Tanzania kwa sasa haina mwenyewe na kama wapo bac bado wako mbali wanakuja, ila tuendeleze harakati maana harakati lazima zianze sasa, haya matukio unayaona sasa ndio kwanza yanaanza yatatokea mengi ya ajabu wengi watawekwa kizuizini na wengi pia watapoteza maisha hapo ndipo neno UKOMBOZI litakapotimia
 
Yaliyoandikwa kwenye hiyo katiba kama kweli yangelikuwa yanafuatwa na kutekelezwa basi leo hii tusingekuewa tunalia na hali mbaya tuliyokuwa nayo.

lakini nacho kiona mimi hapa ni kulewa madaraka na tamaa iliyopitiliza yaani unatamani kila kitu kiwe chako hata kama unawaumiza walio wengi wewe hujali hicho ndicho nachokiaona kwenye mioyo ya viongozi wa CCM
 
Ndugu wana jamvi,
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia siasa zetu,na matukio yanayojitokeza kila siku nchini,hasa kwa vyama hivi viwili, TAWALA(ccm) na UPINZANI(Chadema),

Sasa hivi kuna matukio yanafanyika mpaka unajiuliza kuwa kuna SERIKALI Kweli katika nchi hii,na kama ipo mbona kimya? Watu wana uwawa, wanatekwa na kuteswa, mikataba hovyo, ardhi inauzwa kwa kisingizio cha uwekezaji, Rasilimali kama madini, mafuta na gesi wanajimilikisha wachache, Elimu bomu, hospitali hakuna kama ipo madawa hakuna ,wanyama wanaisha, deni la taifa linakua kila uchwao na hakuna wakusema pesa zimeenda wapi, maofisa wa Ikulu nao wanapiga dili safari za rais na mengine mengi, ila serikalini hakuna anayefanya tendo la kuthubutu hata kumfunga paka kengele.

Hapa sasa ndiyo nikasema niipitie kidogo katiba ya Chama tawala nione labda kuna kipengele kinachoruhusu yote hayo na mengine mengi.

Lakini sasa chakushangaza hata kabla ya kufika mbali na kuisoma kwangu nakutana na haya.

KATIBA YA CCM.
SEHEMU YA KWANZA.
Aya 4;CCM Inaamini kuwa.
1;BINADAMU WOTE NI SAWA.
2;KILA MTU ANASTAHILI HESHIMA NA KUTAMBULIWA NA KUTHAMINIWA UTU WAKE.
3;UJAMAA NA KUJITEGEMEA NDIYO NJIA PEKEE YA KUJENGA JAMII YA WATU WALIO SAWA NA HURU.

Unaweza kuisoma katiba hii ya ccm Sehemu ya kwanza tu kuanzia namba 1 hadi 19, na ukahisi kuwa viongozi wa serikali hawajui katiba ya chama chao,maana wangekuwa wanaijua naamini wangeisimamia kama siyo kuilinda.

Labda niwakumbushe Mwigulu na CCM kuwa, katiba hiyo hiyo,

NYONGEZA "A"
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM).
1;Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2;Nitatumikia nchi yangu na watu wake wote.
3;Nitajitolea nafsi yangu kuondoa UMASKINI,UJINGA,MAGONJWA na DHULUMA.
4;RUSHWA ni adui wa HAKI,sitopokea wala kutoa RUSHWA.
5;Cheo ni dhamana,sitatumia cheo changu,wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
6;Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7;Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
8;Nitasema UKWELI DAIMA,FITINA kwangu MWIKO.
9;Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na Raia mwema wa Tanzanania na Afrika.

Mimi.
Kama kweli sijakosea haya maandishi yanatoka kwenye katiba ya CCM, mbona hawayasimamii? Au hawajui kama yapo? Au wanajisahaulisha?

NB.
Ni mara ya kwanza kwangu kuweka mada jamvini, ushauri kukosoa maoni kwa wenye mapenzi mema na nchi hii, nawasilisha.

LAZIMA TUJILAUMU WATANZANIA KAMA TUNGEKUWA MAKINI CCM ISINGETUFIKISHA HAPA TULIPO.SISI WATZ PAMOJA NA MIMI LAZIMA TUBADILI FIKRA ZETU ILI TUONDOKANE NA KERO HIZI ZA KUDUMU.

NI MTANZANIA GANI ASIYEJUA HAYA YANAYOTUTESHA KILA SIKU huku mafisadi wakipiga makofi tu kupitisha mambo haya haya kila siku.???????????????

1.HALI NGUMU YA MAISHA nauli/kodi juu wakati kipato ni kile kile
2.HUDUMA ZA AFYA MBAYA.DAWA hakuna zikiwepo zaenda kwa hospital binafsi.
3.UBINAFSI WA VIONGOZI WETU -Kujilimbikizia mali kila mahali.Kufa kufaana
4.UFISADI -Dowans na Richmond
5.MIKATABA MIBOVU.Idara za madini na mali asili
6.KULINDANA KUNAKOLETA VIONGOZI WABOVU.Watoto wa vigogo kila penye idara nyeti nenda TRA,BOTn.k
7.UTAPANYAJI WA MALI NA RASILIMALI ZA UMMA.Magari ya umma kwa issue binafsi
8.KUONGEZEKA KWA TABAKA LA WALIONACHO NA WASIONACHO.Tajiri na masikini
9.KUTUMIA RASILIMALI ZA NCHI KUENEZA PROPAGANDA NA CHUKI.
10.UKOSEFU WA AJIRA.64% ya wahitimu ni jobless
11.VIWANDA VINGI KUFA NA KUFANYWA MAGOFU.
12.UKOSEFU WA HAKI KWENYE VYOMBO VYA MAAMUZI MFANO MAHAKAMA.
13.MIGOGORO KILA KONA HASA YA ARDHI ,WAWEKEZAJI KWANZA MZAWA BAADAYE..loliondo,kiteto n.k
14.MIFUMO MIBOVU YA UONGOZI HIVYO KUSABABISHA MZIGO MKUBWA KWA SERIKALI mfano vyeo vya ajabu tu kila
kona.
15.SIASA CHAFU HASA KWENYE MASUALA YA MSINGI MFANO MAJI AMBAYO NI ISSUE MUHIMU TEMBELEA SHY
TOWN,NZEGA,TABORA YOTE,SIMIYU,MPANDA KWA PINDA,DODOMA,DSM,MANYARA,GEITA ,BUNDA,N.K HAKUNA MAJI.
16.UJAMBAZI ULIKITHIRI WA RASILIMALI ZA TAIFA MFANO WANYAMA KUTOROSHWA.
17MASHULE KIBAO ,VITENDEA KAZI HAKUNA.
 
Ndugu wana jamvi,
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia siasa zetu,na matukio yanayojitokeza kila siku nchini,hasa kwa vyama hivi viwili, TAWALA(ccm) na UPINZANI(Chadema),

Sasa hivi kuna matukio yanafanyika mpaka unajiuliza kuwa kuna SERIKALI Kweli katika nchi hii,na kama ipo mbona kimya? Watu wana uwawa, wanatekwa na kuteswa, mikataba hovyo, ardhi inauzwa kwa kisingizio cha uwekezaji, Rasilimali kama madini, mafuta na gesi wanajimilikisha wachache, Elimu bomu, hospitali hakuna kama ipo madawa hakuna ,wanyama wanaisha, deni la taifa linakua kila uchwao na hakuna wakusema pesa zimeenda wapi, maofisa wa Ikulu nao wanapiga dili safari za rais na mengine mengi, ila serikalini hakuna anayefanya tendo la kuthubutu hata kumfunga paka kengele.

Hapa sasa ndiyo nikasema niipitie kidogo katiba ya Chama tawala nione labda kuna kipengele kinachoruhusu yote hayo na mengine mengi.

Lakini sasa chakushangaza hata kabla ya kufika mbali na kuisoma kwangu nakutana na haya.

KATIBA YA CCM.
SEHEMU YA KWANZA.
Aya 4;CCM Inaamini kuwa.
1;BINADAMU WOTE NI SAWA.
2;KILA MTU ANASTAHILI HESHIMA NA KUTAMBULIWA NA KUTHAMINIWA UTU WAKE.
3;UJAMAA NA KUJITEGEMEA NDIYO NJIA PEKEE YA KUJENGA JAMII YA WATU WALIO SAWA NA HURU.

Unaweza kuisoma katiba hii ya ccm Sehemu ya kwanza tu kuanzia namba 1 hadi 19, na ukahisi kuwa viongozi wa serikali hawajui katiba ya chama chao,maana wangekuwa wanaijua naamini wangeisimamia kama siyo kuilinda.

Labda niwakumbushe Mwigulu na CCM kuwa, katiba hiyo hiyo,

NYONGEZA "A"
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM).
1;Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2;Nitatumikia nchi yangu na watu wake wote.
3;Nitajitolea nafsi yangu kuondoa UMASKINI,UJINGA,MAGONJWA na DHULUMA.
4;RUSHWA ni adui wa HAKI,sitopokea wala kutoa RUSHWA.
5;Cheo ni dhamana,sitatumia cheo changu,wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
6;Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7;Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
8;Nitasema UKWELI DAIMA,FITINA kwangu MWIKO.
9;Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na Raia mwema wa Tanzanania na Afrika.

Mimi.
Kama kweli sijakosea haya maandishi yanatoka kwenye katiba ya CCM, mbona hawayasimamii? Au hawajui kama yapo? Au wanajisahaulisha?

NB.
Ni mara ya kwanza kwangu kuweka mada jamvini, ushauri kukosoa maoni kwa wenye mapenzi mema na nchi hii, nawasilisha.

Hiyo katiba uliyosoma ni katiba ya ccm ya mwaka 1977 ya wakulima na wafanyakazi iliyokuwa inaongozwa na Mwalimu Julius Nyerere. Kwa sasa hiyo ccm haipo na inayodaiwa kuwa ccm kwa sasa ni club ya wanafamilia fulani ikijumuisha ndugu na marafiki zao wa karibu na lengo lake kuu ni kujineemesha na kujitajirisha kwa kuchota na kujimilikisha rasilimali za taifa kwa faida yao binafsi na familia zao.
 
failed to connect hayo maneno yanayotoka kwenye katiba ya ccm na mienendo ya mwigulu. mi nadhani mwigulu is only reacting to cdm politics za kuifanya ccm chama kinachojihusisha na matendo ya kigaidi. ka spika alivyosema tu "mkuki kwa nguruwe"
 
Bear in mind: If they can talk the walk are they walk the talk!?Answer here is big "NO"
 
wanaotoboa macho,kutoa kucha,kubana mbavu na kuvunja,kung'oa meno na nk ni wanausalama wa chadema ambao slaa anadai wako makini kuliko tiss.kwa sababu tiss tulikuwa nao tangu zamani na hayamambo hayakuwepo yameanza pale rwakatale alipo teuliwa

Mwalimu pole sana na kazi
 
wanaotoboa macho,kutoa kucha,kubana mbavu na kuvunja,kung'oa meno na nk ni wanausalama wa chadema ambao slaa anadai wako makini kuliko tiss.kwa sababu tiss tulikuwa nao tangu zamani na hayamambo hayakuwepo yameanza pale rwakatale alipo teuliwa

Are you Cheap Labour from LUMUMBA?
 
Mkuu, Nape na Mwigulu watakushambulia ile mbaya kwa kitendo chako hichi cha kusema ukweli na ukweli mtupu hasa kuhusu kile kilichokua CCM ya Mwalimu Nyerere na misimamo yake kwa UTU NA HESHIMA wa binadamu na upendo wa dhati kwa wazawa.

Ngoja kidogo utaniambia kama kutachelewa kabla haujatajwa kama msaliti ulietumwa na CHADEMA kwenda kuwaumbua 'Waheshimiwa' MAFISADI wa chama na kutaka kuwaharibia tonge lao midomoni kwa kuweka wazi ukweli ndani ya katiba y CCM ya enzi hizo.

Nakuambia tena; ohoooo!!!

Ndugu wana jamvi,
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia siasa zetu,na matukio yanayojitokeza kila siku nchini,hasa kwa vyama hivi viwili, TAWALA(ccm) na UPINZANI(Chadema),

Sasa hivi kuna matukio yanafanyika mpaka unajiuliza kuwa kuna SERIKALI Kweli katika nchi hii,na kama ipo mbona kimya? Watu wana uwawa, wanatekwa na kuteswa, mikataba hovyo, ardhi inauzwa kwa kisingizio cha uwekezaji, Rasilimali kama madini, mafuta na gesi wanajimilikisha wachache, Elimu bomu, hospitali hakuna kama ipo madawa hakuna ,wanyama wanaisha, deni la taifa linakua kila uchwao na hakuna wakusema pesa zimeenda wapi, maofisa wa Ikulu nao wanapiga dili safari za rais na mengine mengi, ila serikalini hakuna anayefanya tendo la kuthubutu hata kumfunga paka kengele.

Hapa sasa ndiyo nikasema niipitie kidogo katiba ya Chama tawala nione labda kuna kipengele kinachoruhusu yote hayo na mengine mengi.

Lakini sasa chakushangaza hata kabla ya kufika mbali na kuisoma kwangu nakutana na haya.

KATIBA YA CCM.
SEHEMU YA KWANZA.
Aya 4;CCM Inaamini kuwa.
1;BINADAMU WOTE NI SAWA.
2;KILA MTU ANASTAHILI HESHIMA NA KUTAMBULIWA NA KUTHAMINIWA UTU WAKE.
3;UJAMAA NA KUJITEGEMEA NDIYO NJIA PEKEE YA KUJENGA JAMII YA WATU WALIO SAWA NA HURU.

Unaweza kuisoma katiba hii ya ccm Sehemu ya kwanza tu kuanzia namba 1 hadi 19, na ukahisi kuwa viongozi wa serikali hawajui katiba ya chama chao,maana wangekuwa wanaijua naamini wangeisimamia kama siyo kuilinda.

Labda niwakumbushe Mwigulu na CCM kuwa, katiba hiyo hiyo,

NYONGEZA "A"
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM).
1;Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2;Nitatumikia nchi yangu na watu wake wote.
3;Nitajitolea nafsi yangu kuondoa UMASKINI,UJINGA,MAGONJWA na DHULUMA.
4;RUSHWA ni adui wa HAKI,sitopokea wala kutoa RUSHWA.
5;Cheo ni dhamana,sitatumia cheo changu,wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
6;Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7;Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
8;Nitasema UKWELI DAIMA,FITINA kwangu MWIKO.
9;Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na Raia mwema wa Tanzanania na Afrika.

Mimi.
Kama kweli sijakosea haya maandishi yanatoka kwenye katiba ya CCM, mbona hawayasimamii? Au hawajui kama yapo? Au wanajisahaulisha?

NB.
Ni mara ya kwanza kwangu kuweka mada jamvini, ushauri kukosoa maoni kwa wenye mapenzi mema na nchi hii, nawasilisha.
 
wanaotoboa macho,kutoa kucha,kubana mbavu na kuvunja,kung'oa meno na nk ni wanausalama wa chadema ambao slaa anadai wako makini kuliko tiss.kwa sababu tiss tulikuwa nao tangu zamani na hayamambo hayakuwepo yameanza pale rwakatale alipo teuliwa

kwa nini polisi wanashikwa na kigugumizi kuwakamata?unataka kusema polisi hawawajui?
 
LAZIMA TUJILAUMU WATANZANIA KAMA TUNGEKUWA MAKINI CCM ISINGETUFIKISHA HAPA TULIPO.SISI WATZ PAMOJA NA MIMI LAZIMA TUBADILI FIKRA ZETU ILI TUONDOKANE NA KERO HIZI ZA KUDUMU.

NI MTANZANIA GANI ASIYEJUA HAYA YANAYOTUTESHA KILA SIKU huku mafisadi wakipiga makofi tu kupitisha mambo haya haya kila siku.???????????????

1.HALI NGUMU YA MAISHA nauli/kodi juu wakati kipato ni kile kile
2.HUDUMA ZA AFYA MBAYA.DAWA hakuna zikiwepo zaenda kwa hospital binafsi.
3.UBINAFSI WA VIONGOZI WETU -Kujilimbikizia mali kila mahali.Kufa kufaana
4.UFISADI -Dowans na Richmond
5.MIKATABA MIBOVU.Idara za madini na mali asili
6.KULINDANA KUNAKOLETA VIONGOZI WABOVU.Watoto wa vigogo kila penye idara nyeti nenda TRA,BOTn.k
7.UTAPANYAJI WA MALI NA RASILIMALI ZA UMMA.Magari ya umma kwa issue binafsi
8.KUONGEZEKA KWA TABAKA LA WALIONACHO NA WASIONACHO.Tajiri na masikini
9.KUTUMIA RASILIMALI ZA NCHI KUENEZA PROPAGANDA NA CHUKI.
10.UKOSEFU WA AJIRA.64% ya wahitimu ni jobless
11.VIWANDA VINGI KUFA NA KUFANYWA MAGOFU.
12.UKOSEFU WA HAKI KWENYE VYOMBO VYA MAAMUZI MFANO MAHAKAMA.
13.MIGOGORO KILA KONA HASA YA ARDHI ,WAWEKEZAJI KWANZA MZAWA BAADAYE..loliondo,kiteto n.k
14.MIFUMO MIBOVU YA UONGOZI HIVYO KUSABABISHA MZIGO MKUBWA KWA SERIKALI mfano vyeo vya ajabu tu kila
kona.
15.SIASA CHAFU HASA KWENYE MASUALA YA MSINGI MFANO MAJI AMBAYO NI ISSUE MUHIMU TEMBELEA SHY
TOWN,NZEGA,TABORA YOTE,SIMIYU,MPANDA KWA PINDA,DODOMA,DSM,MANYARA,GEITA ,BUNDA,N.K HAKUNA MAJI.
16.UJAMBAZI ULIKITHIRI WA RASILIMALI ZA TAIFA MFANO WANYAMA KUTOROSHWA.
17MASHULE KIBAO ,VITENDEA KAZI HAKUNA.

Mkuu BJEVI,Kwakweli inasikitisha,halifu kiongozi mkubwa tu wa chama na serikali anaacha kushughulikia haya,cha msingi hapa ni kuitoa tuu hii Fail Gov,2015.
 
wanaotoboa macho,kutoa kucha,kubana mbavu na kuvunja,kung'oa meno na nk ni wanausalama wa chadema ambao slaa anadai wako makini kuliko tiss.kwa sababu tiss tulikuwa nao tangu zamani na hayamambo hayakuwepo yameanza pale rwakatale alipo teuliwa

MWANGOSI DAUD ALIUWAWA KATIKATI YA POLISISIEMU,KOMBE ALIUWAWA NA POLISI,Dr Ulimboka na Gazeti la mwanahalisi ni ushahidi tosha jinsi maccm wanahusika kwa kumtaja Ramadhan Ighondu.
Mmebaki na kelele za kipuuzi.
 
LAZIMA TUJILAUMU WATANZANIA KAMA TUNGEKUWA MAKINI CCM ISINGETUFIKISHA HAPA TULIPO.SISI WATZ PAMOJA NA MIMI LAZIMA TUBADILI FIKRA ZETU ILI TUONDOKANE NA KERO HIZI ZA KUDUMU.

NI MTANZANIA GANI ASIYEJUA HAYA YANAYOTUTESHA KILA SIKU huku mafisadi wakipiga makofi tu kupitisha mambo haya haya kila siku.???????????????

1.HALI NGUMU YA MAISHA nauli/kodi juu wakati kipato ni kile kile
2.HUDUMA ZA AFYA MBAYA.DAWA hakuna zikiwepo zaenda kwa hospital binafsi.
3.UBINAFSI WA VIONGOZI WETU -Kujilimbikizia mali kila mahali.Kufa kufaana
4.UFISADI -Dowans na Richmond
5.MIKATABA MIBOVU.Idara za madini na mali asili
6.KULINDANA KUNAKOLETA VIONGOZI WABOVU.Watoto wa vigogo kila penye idara nyeti nenda TRA,BOTn.k
7.UTAPANYAJI WA MALI NA RASILIMALI ZA UMMA.Magari ya umma kwa issue binafsi
8.KUONGEZEKA KWA TABAKA LA WALIONACHO NA WASIONACHO.Tajiri na masikini
9.KUTUMIA RASILIMALI ZA NCHI KUENEZA PROPAGANDA NA CHUKI.
10.UKOSEFU WA AJIRA.64% ya wahitimu ni jobless
11.VIWANDA VINGI KUFA NA KUFANYWA MAGOFU.
12.UKOSEFU WA HAKI KWENYE VYOMBO VYA MAAMUZI MFANO MAHAKAMA.
13.MIGOGORO KILA KONA HASA YA ARDHI ,WAWEKEZAJI KWANZA MZAWA BAADAYE..loliondo,kiteto n.k
14.MIFUMO MIBOVU YA UONGOZI HIVYO KUSABABISHA MZIGO MKUBWA KWA SERIKALI mfano vyeo vya ajabu tu kila
kona.
15.SIASA CHAFU HASA KWENYE MASUALA YA MSINGI MFANO MAJI AMBAYO NI ISSUE MUHIMU TEMBELEA SHY
TOWN,NZEGA,TABORA YOTE,SIMIYU,MPANDA KWA PINDA,DODOMA,DSM,MANYARA,GEITA ,BUNDA,N.K HAKUNA MAJI.
16.UJAMBAZI ULIKITHIRI WA RASILIMALI ZA TAIFA MFANO WANYAMA KUTOROSHWA.
17MASHULE KIBAO ,VITENDEA KAZI HAKUNA.

2015 nahisi mbali.
 
Ukiwaona akina Kwigulu povu linawatoka ni kwa ajili ya hiyo ndg yangu.Wamehama kabisa nje ya mwelekeo wa chama chao na hawana namna ya kujitetea ila kuanza kusingizia video za kigaidi ili kuhamisha maswala muhimu ya nchi yetu tubakie kujibizana huku jamvini habari za ugaidi.Yeye mwenyewe Mwigulu wakati wa EPA alikuwa benki kuu sina hakika kama hakuwa part&parcel of the whole EPA scandal.Utawaona watakavyotujia juu humu jamvini.

umekosea sana kuropoka kwamba video ya ugaidi ni ya kusingiziwa...kaiangalie vizuri. Nenda youtube enter neno bukoba boy. Usishikiwe akili yako
 
MWANGOSI DAUD ALIUWAWA KATIKATI YA POLISISIEMU,KOMBE ALIUWAWA NA POLISI,Dr Ulimboka na Gazeti la mwanahalisi ni ushahidi tosha jinsi maccm wanahusika kwa kumtaja Ramadhan Ighondu.
Mmebaki na kelele za kipuuzi.

haya matukio yote yametekelezwa na lwakatare, kisha chadema inashadadia kuwa ni serikali...acheni ugaidi wauwaji nyie..mungu atawalaani maisha yenu yote.mtamuongoza nani kama mnauwa raia??
 
MWANGOSI DAUD ALIUWAWA KATIKATI YA POLISISIEMU,KOMBE ALIUWAWA NA POLISI,Dr Ulimboka na Gazeti la mwanahalisi ni ushahidi tosha jinsi maccm wanahusika kwa kumtaja Ramadhan Ighondu.
Mmebaki na kelele za kipuuzi.
nyie magaidi na watekaji akina lwakatare na ludovick mnayafanya mauaji gizani kisha mnawahi kwenye majukwaa kuchafua na kusingizia watu wengine...mmeumbuka na video yenu.
 
haya matukio yote yametekelezwa na lwakatare, kisha chadema inashadadia kuwa ni serikali...acheni ugaidi wauwaji nyie..mungu atawalaani maisha yenu yote.mtamuongoza nani kama mnauwa raia??

Kwa hiyo Daudi Mwangosi(R.I.P)Aliuwawa na Chadema?wale POLISI waliomuua ni Chadema?au walitumwa na Chadema?basi kama polisi wanapokea ODA kutoka Chadema ni Hatari nchini,Maana Jeshi LIMEASI!? Sasa kwanini MSIWAKAMATE WAASI? Au ndiyo tuamini neno "DHAIFU"alilotumia Mh.J.J Mnyika.?
 
wanaotoboa macho,kutoa kucha,kubana mbavu na kuvunja,kung'oa meno na nk ni wanausalama wa chadema ambao slaa anadai wako makini kuliko tiss.kwa sababu tiss tulikuwa nao tangu zamani na hayamambo hayakuwepo yameanza pale rwakatale alipo teuliwa

Mbona hii haihusiani na uzi?
Ukitaka huko, juzi tu watoto wa Karume walitaka mwili wa marehemu upimwe, Pia ishu za kolimba tunakubaliana kuwa nayo pia Lwakatare alikuwepo, au sio?
Hii ni Mbaazi ikikauka husingizia jua, siku ya kufa nyani miti yote huteleza bila kusahau bandu bandu....... Mbaazi sasa ni kuni, Miti imepakwa mafuta na Gogo limeisha. Methali zinatimia tu.
Serikali makini kweli inayumbishwa na Magaidi ambao hawana hata bastola, Hata mapanga hawana!!!.

Rejeeni katika katiba ya chama haya yote yatayeyuka.
 
Back
Top Bottom