Jipe moyo tuWamenda kucheza disco na kula ubwabwa.
Jipe moyo tu
wewe gamba,hebu fuatilia garama zinazotumia watu kuja kwenye mikutani kama hiyo,mmelaaniwa mnatumia umaskini wa watu ili muendelee kuwaibia.hapo watu lazima wemekula ubwabwa na elfu mbili na taarabu ya mzee yusufu inawaburudisha,jipe moyo tu
nami nimeambiwa kuwa safari hii ana wake wa makada 6 si mmoja kama mwaka jana. Na wa kwako yupo?
Koffie!
Wee subiri M4C itakapotembelea hiyi mitaa uone tutakavyo mchana na kumchakaza huyo kibaraka wako!
mkuu utasubiri sana
Umesahau nakuchukua maua ya watuKama kawaida ya magamba, wali nyama, muziki kwa kwenda mbele. Kula CCM, kura CHADEMA. M4C!
CCM. .......CCM.......CCM. HAYO NDIO MANENO. WAMEONESHA FURAHA YAO.....Kumbe kweli majimbo mengine ni ya CCM tu hata iweje