msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,618
- 6,804
Basi, awache kulia, apambane tuAmewahi kugombea 2010 ila kura hazikutosha, kwa hiyo kugombea tena siyo kitu cha ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi, awache kulia, apambane tuAmewahi kugombea 2010 ila kura hazikutosha, kwa hiyo kugombea tena siyo kitu cha ajabu.
Heri ya mwaka mpya mjomba basi badilisha ratiba ya kula wewe ni makopa makavu kwa uji tu!Hivi jero ya bundle kakupatia nani ?
Namshauri Mhe. Rais amteue Mhe. Mwigulu awe Katibu Mkuu wa Chama chetu pendwa CCM.
Amewahi kugombea 2010 ila kura hazikutosha, kwa hiyo kugombea tena siyo kitu cha ajabu.
Kitila ni wa huko na ndiyo waziri wa uwekezaji, aingilie kati. Mwigulu ni kama mfalme wa iramba hakuna wa kumtikisa katika jimbo lake. Jimbo lenyewe halina maendeleo ya kusisimua kama alivyo yeye. Kuna wabunge wanaonekana ni smart lakini majimbo yao yako hoi hayaendani na jinsi walivyo, ni bora wakapisha wengine watakaopaisha majimbo yao kimaendeleo
Kwa io miaka yote hiyo ya kuwa mbunge amefanikiwa kujenga veta pekee yake?2020 Mwigulu alipata kura Kura 677 Katala ukapata kura 14.
Mwigulu kapeleka VETA iramba kabla ya hizo ngonjera zenu na kile kikundi chenu cha wajinga wa mjini.
Iramba ina meremeta inang’ara imebadilika, kubwa zaidi Iramba, Singida na Kanda ya kati zimeheshimika kitaifa kupitia Mwigulu, na Kwa mara ya kwanza Mwigulu ndio KingPin wa Kanda ya kati anaetegemewa kuwafuta machozi ya kuwa Rais wa Kwanza toka kanda hii iliyosahaulika muda mrefu.
unazungumzia ndago, misigiri, sheluhi na kiomboi? Kwa hiyo hiyo barabara inayotarajiwa kujengwa kwa lami toka singida, sepuka, ndago na kizaga ni jitihada zake? Basi kama ni hivyo tumpe maua yake mwanilamba, ilamba nkuluKwa io miaka yote hiyo ya kuwa mbunge amefanikiwa kujenga veta pekee yake?