Mwigamba hatahama CHADEMA kirahisi!

Mkuu uchambuzi wako siku zote una bebwa na dhamira ya kweli na uzalendo ndani yake:
Sema chama chako kinapenda sana kuchochea kuni mbichi kwa jirani wakati kwake kuna moto wa gesi na mda wowote unalipuka, Inshaallaaah tukutane hyo 2014/15
 
Unachokisema ni kizuri ils chenye "malice" nyuma yake, hakuna jinsi CHADEMA watadanganywa kumkumbatia mtu ambae tayari ccm wwnamtumia, mchango wake kwa chama unafahamika na utaheshimika, ila hiyo haimpi excuse ya makosa
 
Soma heading then ulichochangia ni vitu tofauti.
Pengine umechanganyikiwa ukiamka ukilala uchaguzi.
Huna mawazo mengine?
 
Hata kama cdm wakifanikiwa kum-contain mwigamba, kama hawata zingatia matumizi bora ya ruzuku hasa kupeleka pesa kwenye kanda basi wataibuka akina mwi-GAMBA wengi mara kwa mara. Cdm lazima ijue namna ya kupoza njaa za makamanda wake.
Nakubaliana na wewe, makao makuu wanapaswa kujua namna gani ya kupooza njaa ya wapiganaji wake, hili la mwigamba ni sehemu ya sauti za hao wanaolia kwa njaa, wa kwanza alikuwa Chacha wangwe wasaliti akina shonza wakabeba bango na sasa ni kamanda aliyenishawishi sana kuipigania Chadema Samson Mwigamba, ni wakati wa viongozi wa juu kukaa na kujua ni namna gani wale walioko chini wanaonja ladha ya keki ili wajihisi ni sehemu ya chama vinginevyo mapambano hayataisha
 
Mkuu kuna msemo "Ukiona adui anakusifia, Ujue kuna kasoro ana lake Jambo" Una lako Jambo Kunguru hafugiki atadokoa mboga kikaangoni. Kwa heri Mwigamba tafuta tawi Arusha likustiri, Mzee mshauri bure kuwa Arusha hatuna huruma na wasaliti
 

Mkuu VUTA-NKUVUTE

Nashukuru kwa Maoni yako.
Lakini inasadika kuwa baada ya wataalam wa IT kuikagua Computer ya Mwigamba,inasadika wamekuyata mengi sana.
Ingawa bado hawajaweka wazi ni nini wamekikuta, lakini taarifa za kuaminika yamekutwa mawasiliano (email) yake ya Karibu na Mahasimu wa CHADEMA
Kumbuka kuwa, watu ambao sio weledi wa masuala ya IT mara nyingi kwenye Computer zao, hui ruhusu Browser kukumbuka Nywila (Passwors) zao.
Kwa hiyo mtu anapokuja kuikagua Computer yako anaweza akaenda staright kwenye emails zako na kuona conversation zako zote.
Inasemekana kuwa amakuwa akivujisha mipango mingi sana ya Chama kwa Mahasimu wa CHADEMA, yote yameonekana kwenye mawasiliano yake.
Kumbuka kuwa CHADEMA kina Nguvu kubwa sana Kaskazini, Kumbuka kuwa watu wengi sana wamekufa wakikipigania Chama Kaskazini.
Reffer Marehemu Mbwambo aliyechinjwa USA River, Mbunge Lema ambaye kutwa kuchwa anawindwa na kufunguliwa kesi zisizo na Kichwa wal Miguu.
Hii ndio Sababu iliyopelekea watu kufikia hatua ya Kumpiga Mwigamba.
Based on this, Huoni kuwa Chance ya CHADEMA kum retain Mwigamba ni ndogo sana.
Haya ni Maoni yangu lakini
 
Last edited by a moderator:
Reactions: mmh
Ninachojua mwigamba aliachiwa kesi peke yake hadi leo anateseka nayo.

wewe ni mnafiki mpuuz usiyefaa katika jamii yoyote iliyostaarabika.wakati kesi za kijinga wanabambikiwa mwigamba na watanzania wengine maccm ukiwemo na wewe huwa mnafurahia na kushangilia lakn cha ajabu eti leo unamhurumia mwigamba.kweli?
 

Mkuu Ritz unaonaje,

Hizi cheche alizorusha Masikini Mkulima zimeweza kuwasha moto ndani ya Chadema ama zimemuunguza mwenyewe Masikini Mkulima? Ama unaonaje?
 

Umetumwa umsemee? Mbona kuna uzi hapo juu,unaosema kuhusu ukweli wa katiba yenu na ukweli wa namna kipengele kilivyochakachuliwa, changia hiyo thread kwanza! Sio kumbembeleza Mwigamba!
 
Mkuu 2Pa 2pa Heshima kwako,huwa napenda maandiko yako makini.
 
Mkuu 2Pa 2pa Heshima kwako,huwa napenda maandiko yako makini.

Mwigamba kajimaliza kama Shonza, na atatapatapa sana same kama Shonza, na tutamsahau kama Shonza na Mwampambwa wake
 
hamna kitu Chadema nao wezi tuu,jamaa ni mzalendo hasa lakini godbless lema si mzalendo mwizi
 
Movement for Crazy people wanachama wengi wa CDM hawana uono wa mbali chadema na CCM tofauti ni Mavazi tu l;akini wote ni walewale
\
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…