Yote kwa yoote.
Watu mmepima.
Wale waliokula leo na kusali EID leo hembu muwauliza kwanini walijifungia ndani wakisubiria wenye EID yetu kesho ili tuwape kampani.
Sasa subirini kesho muone EID inavyokuwa ndio mtajua kwamba kuna wenye EID na waleee wa mwezi wa kwenye Dish la sembe.