JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,389
- 9,664
Hio wizara haina Naibu.Naibu waziri yupo.makatibu wakuu wapo.unataka Nini?au hujalipwa mshahara August?
Maswali Bungeni yatajibiwa na nani?
Hio wizara haina Naibu.Naibu waziri yupo.makatibu wakuu wapo.unataka Nini?au hujalipwa mshahara August?
Tumeshajifunza kitu.Huyo mzee anaweza nafasi yoyote, alifaa sn kuwa Makamu wa Rais
Sawa mkuuTumeshajifunza kitu.
Makamu lazima awe mtu wa kueleweka.
Ndio ujue vyeo vingine havina umuhimu... CDF anatoshaJe, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
???? Upo serious?Wizara gan hizo
Naibu Waziri yupo anaendelea kukaimu.Je, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Yupo moshiTwasubiri Raisi atoke zenji.
Mwenye Mamlaka ya Uteuzi ni wewe sasa hao kwanini wanaingia Mamlaka yakoBado kuna mvutano mama anataka mzanzibari mabeyo anataka sukuma gang.
Polisi wapo chini ya wizara ya mambo ya ndani. Waziri wao ni Simbachawene.nahisi hatuhitaji waziri wa ulinzi maana ikifika polisi wanakwenda kwenye nyumba na kuiba karafuu huku wakiwa na silaha ya SMG (sabu mashini gani) wanaondoka na magunia .
sasa waziri wa ulinzi wa kitu gani ? Labda kuilinda CCM na kuhakikisha inashinda.
Bado kuna mvutano mama anataka mzanzibari mabeyo anataka sukuma gang.
Naibu waziri yupo.makatibu wakuu wapo.unataka Nini?au hujalipwa mshahara August?
Wamempangia royal tour mambo ya kuongoza serekali waachiwe waoJe, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Kuna wizara mbili ziko vacant, ulinzi na sheria, pia post ya VP huenda nayo inasubiri uteuziJe, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.