Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Pole nawe piaPole
Pole nawe piaPole
Vipi ?,inakusababishia kukosa pesa na chakula?,sema tumteueJe, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Soma TANZIA - Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia
Pumbavu!Vipi ?,inakusababishia kukosa pesa na chakula?,sema tumteue
Wanaotaka waziri wa ulinzi wapuuzwe. Wizara ya ulinzi itapewa mwanajeshi, jenerali au meja jenerali.Yupo naibu na katibu mkuu mwendo mpera mpera!
Umepungukiwa nini? Mbona Chadema wana miezi hawana Mwenyekiti wa Chama wala Makamu Mwenyekiti na hujalalamika?Je, nchi inaendaje? Kwa sasa maana ni mwezi sasa hatuna Waziri wa Ulinzi tangu Kwandikwa Atutoke.
Wataalamu wa mambo mnaweza shea chochote kwenye hili.
Soma TANZIA - Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia