Hata sijui wanawake wa siku hizi wamekuaje maana wanapenda mno ndoa yaani mtu mnaazisha uhusiano hata mwezi hujaisha ulishaanza kuulizia ndoa na wakati mwingine wanaume hutumia kete hiyo kuwapata, sio kila mahusiano huzaa ndoa.
mbona ww mwezi mmoja tu unataka papuchi? ukiona mwanamke anaulizia ndoa ujue anakupenda. hataki kukuchezea na kukupotezea muda. lol
Hamna kukupenda wala nin ni upasua kichwa tu na kumbebesha mtu mizigo isiyomuhusu. We umecheleweshwa huko ulikotoka unataka uanze kunipeleka mi mbio kwani tulianza wote safari? Ukitaka tufike pamoja ni lazima ufuatane na mwendo wangu! Hutaki unasepa
mbona ww mwezi mmoja tu unataka papuchi? ukiona mwanamke anaulizia ndoa ujue anakupenda. hataki kukuchezea na kukupotezea muda. lol
mbona ww mwezi mmoja tu unataka papuchi? ukiona mwanamke anaulizia ndoa ujue anakupenda. hataki kukuchezea na kukupotezea muda. lol
Oeni mnaopenda ndoaaa....wacheni tule ujana kwanza......
Yan mwez tu anataka ndoa kwel mpya! mtu hujajua hata kwao wap,anaish je huko then bebi utaniowa lin-nyambafuuuu!
mbona ww mwezi mmoja tu unataka papuchi? ukiona mwanamke anaulizia ndoa ujue anakupenda. hataki kukuchezea na kukupotezea muda. lol
Hamna kukupenda wala nin… ni upasua kichwa tu na kumbebesha mtu mizigo isiyomuhusu. We umecheleweshwa huko ulikotoka unataka uanze kunipeleka mi mbio kwani tulianza wote safari? Ukitaka tufike pamoja ni lazima ufuatane na mwendo wangu! Hutaki unasepa
Hamna kukupenda wala nin ni upasua kichwa tu na kumbebesha mtu mizigo isiyomuhusu. We umecheleweshwa huko ulikotoka unataka uanze kunipeleka mi mbio kwani tulianza wote safari? Ukitaka tufike pamoja ni lazima ufuatane na mwendo wangu! Hutaki unasepa