Mwezi mmoja unaulizia ndoa.

Mwezi mmoja unaulizia ndoa.

Bora aulizie isije kuta anatumika tu kama kitoweo wakati mboga kuu inakula bata.
 
Mbona nyie siku moja tu mnatangaza ndoa?
Kwa hiyo sisi kuulizia tarehe imekuwa shida?
Acheni hizo.
 
Kuoa ni zaidi ya kuvaa shera na gauni jeupe.

Bila kusahau kupiga picha&video camera...maana unakuta mdada kaona dada'ake kaolewa unamsikia et natamani na mimi siku yangu ifike,ukimuuliza alichokitamani anakwambia "kupiga picha za historia ya harusi yangu".Ndoa ni fumbo zito sio kama kuitana "baby" "baby",sio Bongo movie ni kitu sereosly wanatakiwa kuelewa.
 
Hata sijui wanawake wa siku hizi wamekuaje maana wanapenda mno ndoa yaani mtu mnaazisha uhusiano hata mwezi hujaisha ulishaanza kuulizia ndoa na wakati mwingine wanaume hutumia kete hiyo kuwapata, sio kila mahusiano huzaa ndoa.

Hawapendi zinaa ndio maana wanaulizia ndoa.

R.I.P mama Zitto Kabwe

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
mbona ww mwezi mmoja tu unataka papuchi? ukiona mwanamke anaulizia ndoa ujue anakupenda. hataki kukuchezea na kukupotezea muda. lol

Kwani nikikutongoza ukanipa papuchi lazima nikuoe kuna mahisiano mengine huwa hayana makubaliano ya ndoa na hapo ndo mabinti huwa mnachemka.
 
mwendo wa kumega kisela sio?dah haya bana mii napita tu

Mkuu sio kumegana kisela ila wanaboa. Unakutana na mtu alikuwa na ndoto za kuolewa na vijamaa vyake huko nyuma vikala kona. Sasa yale malengo yake anataka we ndio umtimizie bila hata we kujipanga. Mtu mmekutana hata kwenu hakujui, ndugu zako hawajui anauliza 'utaenda lini kujitambulisha kwetu?' Pumbaf, kwani kuoana ni emergency? Kwani mie ndio niliokucheleweshea kuolewa?
 
Kwani nikikutongoza ukanipa papuchi lazima nikuoe kuna mahisiano mengine huwa hayana makubaliano ya ndoa na hapo ndo mabinti huwa mnachemka.

ndio maana watu wenye heshima zetu kungonoka huwa tunaita tendo la ndoa. sasa fanya magazijuto uone kwanini sex = tendo la ndoa.
 
wanaume bana, jambo la heri kama hilo mnalipiga vita kiasi hicho!!!

Ndoa sio kama kwenda haja, ukijisikia tuu unaingia chooni. Wadada wengi wanachowaza ni kuwaonesha watu kwamba na wao wameolewa kumbe sicho kinachohitajika. Akiona aliosoma nao wanaolewa na yeye anaanza kukusumbua hata kama uhusiano wenu una mwezi mmoja tuu!
 
Ndoa sio kama kwenda haja, ukijisikia tuu unaingia chooni. Wadada wengi wanachowaza ni kuwaonesha watu kwamba na wao wameolewa kumbe sicho kinachohitajika. Akiona aliosoma nao wanaolewa na yeye anaanza kukusumbua hata kama uhusiano wenu una mwezi mmoja tuu!
Aseee unamwaga povu…..
 
Mbona nyie siku moja tu mnatangaza ndoa?
Kwa hiyo sisi kuulizia tarehe imekuwa shida?
Acheni hizo.

Ndoa sio kama tarehe ya kuanza shule..

Ndoa ni by product ya mahusiano yenu. Mkakubaliana kuyaidhinisha kwa Mwenyezi Mungu.. kim nana usijali utaolewa tu
 
Mbona nyie papuchi mnaomba ndani ya siku moja why ndoa.
 
Bila kusahau kupiga picha&video camera...maana unakuta mdada kaona dada'ake kaolewa unamsikia et natamani na mimi siku yangu ifike,ukimuuliza alichokitamani anakwambia "kupiga picha za historia ya harusi yangu".Ndoa ni fumbo zito sio kama kuitana "baby" "baby",sio Bongo movie ni kitu sereosly wanatakiwa kuelewa.

Wanaume tunakuwa na fumbo zito moyoni ambapo hata mwanamke hawezi kujua kwann umemuoa.
 
Aseee unamwaga povu…..

Mimi siwezi kuanza kumwaga povu kwenye jambo ambalo nalifahamu. Muwache kutupa taarifa za rafiki zenu kuolewa ili na nyie muolewe wakati hujathibitisha uanamke wako. We mwanamke kila siku unataka tukale hotelini unadhani utanivutia nikuoe?
 
Mimi siwezi kuanza kumwaga povu kwenye jambo ambalo nalifahamu. Muwache kutupa taarifa za rafiki zenu kuolewa ili na nyie muolewe wakati hujathibitisha uanamke wako. We mwanamke kila siku unataka tukale hotelini unadhani utanivutia nikuoe?

Heee kwani una ugomvi na wanawake....hebu chilax!Na si kila mwanamke yupo kama ulivyomchora ww akilini mwako…wengine tuna staha zetu!!
 
Kuna umri wakifika hawana simile hata kidogo, ni ndoa..ndoa na wao!!..japo siwasemi sana hata mimi kuna wakati natamani kuwa kwenye hiyo kitu...!
 
Back
Top Bottom