Mwesiga Baregu Vs Mulugo

Mwesiga Baregu Vs Mulugo

Marekani wakina Prof Mazrui,Prof Ngungi wa Thiongo,na the late Chinua Achebe walikuwa bado wanafundisha,Ngungi ni 75 yrs old,Ali Mazrui i think over 80 !Prof Mweregu sijui ana umri gani kuambiwa hawezi kuendelea kuwa UDSM.Good SAUT walimpa anachostahili.

Kuna clip ya Mulugo huko South Africa,hata Kiingereza kinachosha.Najiuliza hakuna wanaostahili zaidi ya huyu bwana hapo wizarani?
 
Nawe rekebisha kidogo,anaitwa profesa Mwesiga Baregu,mpe haki yake mkuu!

Na wewe anaitwa Profesa Mwesiga Baregu. Kuandika neno hilo ukiliambatanisha kama prefix kwenye jina la mtu ni lazima uanze na capital P,si kama ulivyofanya hapo juu.Ha ha ha.....!Ilikua blue Monday!
 
Ama kweli Tanzania yetu ni ya maajabu,unaweza ukajitahidi kusomaweeee lakini ukanyimwa kazi huku wataalam wa fani uliyosomea wanahitajika na wananchi wakiachwa wakiathirika kwa kukosa huduma yako.KWELI TANZANIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO.
Professional know WHO and not know HOW ndiyo mpango mzima Tanzania.
 
Ajabu kweli kweli fikiria Mr.prezo anaulizwa kwa nini nchi yako inaendelea kuwa masikini pamoja na rasilimali kede kede mlizojaaliwa, anajibu blindly kuwa hajui kwa nini, kweli?
 
Arafu(HALAFU) siyo Dr Balegu bali ni Profesa Balegu. Haiingii akilini. Mulugo ni mtu aliyefali(ALIYEFELI) na ndio maana anataka watoto wa kadato cha nne wafeli kama yeye.

Taratibu ma-GT
 
Tanzania hiitunaibomoa wenyewe. Maana nilishawahi kusikia huyo jamaa hata shule yake kule OUT haikuwa nzuri ana. Labda nayo majina mengi bwana. Marehemu Ditopile alikuwa na majina zaidi ya manne. Nakumbuka matatu Ukiwaona Ditopile Mzuzuri sijui wa nani.
 
Haifai kufananisha kichwa chenye some bit(Zimbabwe) Vs kichwa chenye tillions of TB(prof.)...
 
Baregu hakunyimwa ajira: muda wake wa kutumikia umma wa watanzania ulifika ukingoni kwa mujibu wa sheria za ajira za Tanzania. Kuna watanzania wengi tu ambao pia ni potential ila muda wa kustaafu unapofika wanakaa pembeni kutoa nafasi kwa watu wengine kufanyakazi!

Nashindwa kuelewa vichwa vya waTanzania, kila siku wanalia eti wazee wameng'ang'ania maofisini, leo serikali imeliona hilo wanapumzishwa hili vijana nao wapate nafasi ya kufikia position zao tunalalaaaaaaama!!?

Hivi tunataka nini??? :nono:
 
Back
Top Bottom