Nimebanwa na haja baada ya kusoma msg ntarudi baadaye kidogoMkuu wa kaya alitumia akili za kuazima akasahau kuchanganya na zake.
Nimebanwa na haja baada ya kusoma msg ntarudi baadaye kidogoMkuu wa kaya alitumia akili za kuazima akasahau kuchanganya na zake.
60% of Form IV failureKama unakataa kumpa ajira Dr Mweregu na kumpa Mulugo(fraudster) Uwaziri ,what do you think?
kwenye red hapo rekebisha anaitwa mwesiga balegu.unataka kufananisha mlima kilimanjaro na kichuguu?
Kwenye Red hapo rekebisha anaitwa Mwesiga Balegu.Unataka kufananisha Mlima Kilimanjaro na kichuguu?
Arafu siyo Dr Balegu bali ni Profesa Balegu. Haiingii akilini. Mulugo ni mtu aliyefali na ndio maana anataka watoto wa kadato cha nne wafeli kama yeye.
Kwani baregu naye alimsaidia "baba" kumpata mamdogo gani..!!?
actually sion kama kuna uhusiano mkubwa SANA kati ya Elimu ya darasan na uongoz.pia msisahau jambo hili ni two ways traffic.hapasw kuforge vyet hilo ndo la msing otherwise kuna maprofesa na madaktar weng ambao hawajasaidia nch hii.mifano ipo ming tu ya wasomi hao mnaowataka kama ambao ni mawazir,wabunge n.k lakin hawana mchango kwa nchi.tujiulize utendaj wa mulugo ukoje?je hafai kwa sabab ya elimu yake au kwa sabab ya uwezo wake binafs wa kimaamuz?tuna viongoz wasomi weng bado wanaingia mikataba ya chifu nangungo wa msovero.tuna viongoz ambao hawana elimu kubwa lakin wanafanya mambo makubwa sana.angalia viongoz 20 wa mifano dunian ntajie wenye PHD wangap.uongoz bora mtu huzaliwa nao,hujifunza na pia kuandaliwa na walio bora.maji hufata mkondo mara nyng lakin pia kuna kipind huchepuka.tumhukumu mulugo kwa utendaj wake na kamA amegush vyet kosa liwe hilo otherwise alipaswa ajiamin tu.lakin msimlaumu yeye.mlaumuni aliyemteua maana hakufanya uchungu wowote abt him.
Huyo mheshimiwa wa magogoni ukimpigia chapuo kwa demu tu ujue umeula,elimu kwake si kigezo cha maana saana kwake na ndio maana hata yeye tangu amalize chuo miaka ya 70 hadi leo hana alichoongeza za ya watoto na mademu.For ten years at foreign office hajui hata lugha moja ya kigeni.Huyu ni mtu alienda shule tu kwa sababu shule ipo na si vinginevyo.Kama unakataa kumpa ajira Dr Mweregu na kumpa Mulugo(fraudster) Uwaziri ,what do you think?
Mkuu wa kaya alitumia akili za kuazima akasahau kuchanganya na zake.