Mwesiga Baregu Vs Mulugo

Mwesiga Baregu Vs Mulugo

mazoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
215
Reaction score
41
Kama unakataa kumpa ajira Dr Mweregu na kumpa Mulugo(fraudster) Uwaziri ,what do you think?
 
Kama unakataa kumpa ajira Dr Mweregu na kumpa Mulugo(fraudster) Uwaziri ,what do you think?

Kwenye Red hapo rekebisha anaitwa Mwesiga Balegu.Unataka kufananisha Mlima Kilimanjaro na kichuguu?
 
Ama kweli Tanzania yetu ni ya maajabu,unaweza ukajitahidi kusomaweeee lakini ukanyimwa kazi huku wataalam wa fani uliyosomea wanahitajika na wananchi wakiachwa wakiathirika kwa kukosa huduma yako.KWELI TANZANIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO.
 
Kwenye Red hapo rekebisha anaitwa Mwesiga Balegu.Unataka kufananisha Mlima Kilimanjaro na kichuguu?


Arafu siyo Dr Balegu bali ni Profesa Balegu. Haiingii akilini. Mulugo ni mtu aliyefali na ndio maana anataka watoto wa kadato cha nne wafeli kama yeye.
 
Mkuu wa kaya alitumia akili za kuazima akasahau kuchanganya na zake.
Ndo tatizo la kuchagua waziri kutokana na wabunge.. Inapaswa achaguliwe kutoka nche ya bunge..na taaluma yake iendane nae.. Huu upuuzi unaofanywa na viongozi wetu ni to much
 
Mimi sishangai"WAHENGA WALINENA-KAMA UNAONA ELIMU NI GHARAMA BASI WEKEZA UJINGA"sasa wanaJF Tumechagua ujinga na ndo mana magamba wanatuchezea samba huku wakituambia hakuna kuandamana nasema ITAFAHAMIKA TU.
 
Arafu siyo Dr Balegu bali ni Profesa Balegu. Haiingii akilini. Mulugo ni mtu aliyefali na ndio maana anataka watoto wa kadato cha nne wafeli kama yeye.

Na wewe hapo anaitwa Profesa Mwesiga Baregu sio profesa Balegu.lol

Blue Monday noma.
 
Vyanzo vya matatizo ya umaskini wa waTZ ni vingi hadi unashindwa pa kuanzia, kama tunaweza kumpa Mulugo hatima ya elimu ya watoto wetu na tukamyima kazi Prof Baregu hili si janga la kitaifa maana liko kwenye ubongo wa watawala.
 
Yaani ndio tutambue serikali yetu inatumia nguvu badala ya "AKILI"
 
Arafu siyo Dr Balegu bali ni Profesa Balegu. Haiingii akilini. Mulugo ni mtu aliyefali na ndio maana anataka watoto wa kadato cha nne wafeli kama yeye.

Halafu sio Profesa Balegu ni Profesa Baregu.Kumfananisha Prof Baregu na Mulugo kwanza ni tusi kwa Prof,pili ni sawasawa na kufananisha kamba na uzi.
 
Arafu siyo Dr Balegu bali ni Profesa Balegu. Haiingii akilini. Mulugo ni mtu aliyefali na ndio maana anataka watoto wa kadato cha nne wafeli kama yeye.

-Arafu
-aliyefali
-kadato...
Kweli blue monday noma au hang over bado iko mu kichwa mkuu?
 
Ndo tatizo la kuchagua waziri kutokana na wabunge.. Inapaswa achaguliwe kutoka nche ya bunge..na taaluma yake iendane nae.. Huu upuuzi unaofanywa na viongozi wetu ni to much

Itabidi achaguliwe kutoka "nche" ya bunge njomba
 
Back
Top Bottom