Amanda187
Member
- Mar 19, 2012
- 7
- 0
Habari za Ijumaa,Naomba niwaulize wenzangu,ivi unafanyaje unapokuwa na mwenza wako ambaye haelewi,yaani ulimwengu uko huku na yeye yuko huku?halafu hashauriki kwa maana anajiona yuko sahihi,hana mipango dhabiti,anapanga kutokana na wenzake wanavyopanga,anaweza akaamka kitandani bila mpango wowote akaenda kununua gari ambalo halikuwepo kwenye mipango na huku nyumba kapanga.....Nauliza ili kujifunza namna ya kumsaidia huyu na kujisaidia mimi mwenyewe.Karibuni.