Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
Kwani kukaa mikoa tofauti ndio ticket ya kutanga tanga nje ya mahusiano yako na mtu anaekuamini??haaah haah Lizzy bibie imagine dada amesema wanaishi mikoa tofauti so ktk mazingira kama hayo kweli?!
Then kama amekiri why asisamehewe?!
Dada atulie kwanza ampime kama ataelekea asemehe tu huo ndio uhalisia.
Nielewe kwamba sitetei cheating ila nataka dada afanye maamuz sahihi na aangalie mazingira ya kosa na kukiri kwa muhusika. asikurupuke tu
Kama anajua hawezi kuvumilia si abaki single ili popote anapoenda awe huru kuchukua mtu bila kumuumiza mwingine?Embu watu mjifunze self discpline bana acheni kutafuta visingizio hata visivyo na vichwa...miguu wala mikono.
Heheheh....eti amekiri!!Amekiri au amebambwa???
Nyw,...hata kama angekua amekiri ndo afanye mazoea??Yani kila siku acheat na kukiri??Lini ataacha?Akishamletea mwenzie magonjwa ehhhh!!!?
Ingekua ndio mara ya kwanza nisingeshangaa sana huo utetezi wa ki'mazingira' ila kwa mara zaidi ya ya pili.....mmmh LABDA!!!