Wana jf mko pouwa,,, jamani naombeni ushauri coz nko stressed cjachaguliwa coz yoyote na TCU up 2 now even private na ufahuru wangu ni GPA ya 2.7 nimesoma pcb na nilijaza almost education sasa sijui nifanye nini hh 4th round hakuna fulcut yoyote ya sayansi zaidi ni education in art msaada wa mawazo na ushauri ilinijue nitafanya nn coz hata him bado cjawabia