Mwenza wa maisha (Mume) anahitajika

Wanangu siku hizi mnafanya mambo rahisi kuwa magumu. Haya mambo ya elimu na dini naona ni kama kukuza mambo maana ndoa haina dini wala elimu bali mapenzi na sifa nzuri. Anyways endeleeni mtawapata wenye hivyo vitu lakini mabomu. Sifa ulizotaja nakushauri uende kwenye chuo cha Manzese uulizie wasichana wa kipare waislam. Wapo wengi wanavaa tena niqab ingawa ni jiko la mchina linapokuja suala la kugawa hayo mambo yenyewe.

Mkuu hicho chuo change Manzese kinaitwaje?
 
Hujanikwaza mimi nafikiri ndoa nyingi hua hazidumu kwa sababu kama hizi tunajifanya tunaenda kizungu zaidi.lakini kama tungeangalia nyuma kwanini wazazi wetu wameweza kuzeeshana wao walitumia njia gani kuoa au kuolewa tusingekua na talaka na usaliti kama leo.sikweli kwamba asiyekua na elim hana akili wala mwenye elim ana akili sana.wangapi hawana elim na wana maisha mazuri?wangapi wenye elim na hawana maisha mazuri?mimi nakushauri rudi kwenye vitabu mrejee mungu akupe mume mwema.huyo atakaye kupa yeye ndie mwemakwako,unaweza kumpata hata mwenye elim zaidi ya hiyo mwisho wa siku ukaaja juta.

Ushauri mzuri sana huu, Haliu chukua ama acha juu yako
 
Last edited by a moderator:
Engekuwa si dini ungenipata anyway ningefuat hata yako ila naogopa kujazwa itikadi za kuchoma makanisa.
 
Hujanikwaza mimi nafikiri ndoa nyingi hua hazidumu kwa sababu kama hizi tunajifanya tunaenda kizungu zaidi.lakini kama tungeangalia nyuma kwanini wazazi wetu wameweza kuzeeshana wao walitumia njia gani kuoa au kuolewa tusingekua na talaka na usaliti kama leo.sikweli kwamba asiyekua na elim hana akili wala mwenye elim ana akili sana.wangapi hawana elim na wana maisha mazuri?wangapi wenye elim na hawana maisha mazuri?mimi nakushauri rudi kwenye vitabu mrejee mungu akupe mume mwema.huyo atakaye kupa yeye ndie mwemakwako,unaweza kumpata hata mwenye elim zaidi ya hiyo mwisho wa siku ukaaja juta.

Nashukuru kwa ushauri, na kila ninachofanya m/mungu ndio kiongozi wangu, kabla sijaipost hii kamba niliomba m/mungu anisaidie.
 
mh! mimi nina sifa zote lakini kama unaweza kuwa mke wa pili ni-pm. nasubiria pm yako kwa hamu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom