Wanangu siku hizi mnafanya mambo rahisi kuwa magumu. Haya mambo ya elimu na dini naona ni kama kukuza mambo maana ndoa haina dini wala elimu bali mapenzi na sifa nzuri. Anyways endeleeni mtawapata wenye hivyo vitu lakini mabomu. Sifa ulizotaja nakushauri uende kwenye chuo cha Manzese uulizie wasichana wa kipare waislam. Wapo wengi wanavaa tena niqab ingawa ni jiko la mchina linapokuja suala la kugawa hayo mambo yenyewe.
Mkuu hicho chuo change Manzese kinaitwaje?