Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Ndg. Mohammed Ali Kawaida amesema Chama Cha Mapinduzi ndio baba wa vyama vingine ambavyo ni sawa na watoto wadogo katika misingi ya kisiasa na kisera kwa maslahi ya nchi ya Tanzania na hivyo ushindi wa CCM katika Uchaguzi ni sawa na kifo; CCM lazima kishinde kwa sababu kimetekeleza Ilani yake kwa kishindo.
Mwenyekiti Kawaida amewataka Vijana kuwa tayari kukilinda CCM muda wote kwa sababu Ulinzi wa CCM ni jukumu la Vijana.
Ameyasema hayo katika Mkutano wa ndani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Nazareth, Manispaa ya Sumbawanga leo 15 Juni, 2025 ikiwa ni tamati ya Siku mbili za Ziara yake Mkoani Rukwa.
Kawaida anaendelea na Ziara yake ya Siku Saba za Kibabe katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Songwe itakayomalizika 17 Juni, 2025.
Mwenyekiti Kawaida amewataka Vijana kuwa tayari kukilinda CCM muda wote kwa sababu Ulinzi wa CCM ni jukumu la Vijana.
Ameyasema hayo katika Mkutano wa ndani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Nazareth, Manispaa ya Sumbawanga leo 15 Juni, 2025 ikiwa ni tamati ya Siku mbili za Ziara yake Mkoani Rukwa.
Kawaida anaendelea na Ziara yake ya Siku Saba za Kibabe katika Mikoa ya Katavi, Rukwa na Songwe itakayomalizika 17 Juni, 2025.