hahahaha......hiii kweli noma, usiombe sasa balaa lile kwa refarii, utakuta refarii anachezesha mpira ukifika mwisho anaelekea upande wa nyumba ilio karibu then akimaliza tu ni mbio mpaka ndani......hahahahha
Mimi nadhani mawe hayo si kwa ajili ya vita ila ni kitendea kazi,maana alipo hana notebook wala file yoyote mkononi.Hivyo inapofika muda wa kutoa mawaidha anayapanga mawe yake chini na kutoa maelekezo....
moja iliisha KIBAHA juzi kati..! ilikua ni balaa yani refa alimalizia mchezo kwenye angle kule mwisho.. baada ya kupiga kipyenga tu jamaa alitoka nduki kinyama yani..! it was fun asee teh teh teh....!
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
<tbody>[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]" Kocha wa Taswa Fc, Ally Mkongwe, akiwa nje ya uwanja wakati akitoa maelekezo kwa wachezaji watimu yake huku akijihami na silaha ya mawe,ni baada ya mchezo huo 'kunuka' yaani kuharibiwa na mchezaji Nsa Job na kusababishavurugu. .[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]