Mwenyekiti wangu Magufuli, usitubu!

Mwenyekiti wangu Magufuli, usitubu!

Inapaswa ajiulize Mara mbili wapi kakosea.
Ikibidi amuite baba askofu amueleze atubu kwa lipi.
sikukuu ya Christmas na mwaka mpya imeingia mtimanyongo jamaa hana raha kwa kua kiki zimetiwa mchanga na askofu kitumbua hakiliki
 
Kwi kwi kwi kwi kwi mie nimekusoma Mkuu.
Nchi hii ina safari ndefu sana yan mtu ana hadi smartphone yakuingia JF lakini kashindwa kuelewa maudhui ya mleta mada jamani? Tunaenda wapi? Usikute wote hawa walioporimosha matusi ni first, second na 3rd year, wanajiita wasomi wa vyuo vikuu. Nimeumia aisee.

Hivi hawa watu hawakusoma kabisa kiswahili form one, form two?

Dah. Elimu inapaswa kupitiwa upya nchi hii

Yan wachangiaji wote karibu 10 wa kwanza wameshindwa elawa kabisa maudhui ya mada. Leo nmejua kwanini 70% ya watoto wote wanaomaliza kidato cha nne wanafeli wakati 99.9% wanafaulu darasa la saba kwenda sekondari.

Hivi watu wa hivi ukiwapa shairi la mzee Shaban Robert wanaweza lichambua kweli? Tanzania inahtaji msamaha kutoka kwa Mungu kuna sehemu tumemkosea. Ndio maana sasa hata vichaa wanaongoza nchi
 
Askofu Zakary Kakobe mpuuze na hoja igeuze. Huna haja wala hoja ya kutubu kwa toba kwakuwa unatoa tiba kwa miiba ya Tanzania. Unatibu bila tabu yaliyokuwa majaribu mujarabu kwa watanzania. Usitubu!

Usijali. Tunakuombea na kukujibia. Tutamjibu kwa mbwembwe kuliko kunyoa kwa wembe hadi Askofu ajione mzembe. Tutampa majibu ya mbali na karibu hadi aulaumu utaratibu uliomsibu. Usitubu!

Jijenge, jitenge na waingize mkenge. Jifagilie, jiandalie na jifurahie. Ni wakati wako chamani na Serikalini. Kataza hata kwa kuliza fujo za hovyo za mikutano na kuhutubia kwa kujielezea. Huna haja ya kutubu!

Kula nanasi kunahitaji nafasi. Unayo nafasi bila kufosi ya kujinafasi bila wasiwasi na kutajwatajwa wewe tu. Hutubia, tumbua, kemea, kamatia, zingatia, puuzia, koromea na kagua. Ni wewe tu, usitubu!

Demokrasia huleta ghasia. Mikutano hubadili mtazamo. Giza husaidia. Giza hulinda na kuunda. Tuache bila mikutano wala mitazamo. Tukusikie na kukufuata wewe tu. Usitubu, usijipe tabu!

Mambo ya expansion joints hayo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (mapumzikoni Nairobi,Kenya)
Umeongea mengi lakini ubeti wa Mwisho ni wa Kipumbavu kabisa. Ubet umemgeuza kuwa Malaika asiekosea, tumsikilize yeye tu kama nani? Asishauliwe? Endeleeni kuropoka tu
 
Hivi kutubu mpaka ushurutishwe...? kakobe naye akili zimeanza kumruka...apleke stress zake huko..
Kwa sababu yeye anashurutisha aombewe! Na kanuni ndio hiyo, no kutubu no kuombewa.
 
Askofu Zakary Kakobe mpuuze na hoja igeuze. Huna haja wala hoja ya kutubu kwa toba kwakuwa unatoa tiba kwa miiba ya Tanzania. Unatibu bila tabu yaliyokuwa majaribu mujarabu kwa watanzania. Usitubu!

Usijali. Tunakuombea na kukujibia. Tutamjibu kwa mbwembwe kuliko kunyoa kwa wembe hadi Askofu ajione mzembe. Tutampa majibu ya mbali na karibu hadi aulaumu utaratibu uliomsibu. Usitubu!

Jijenge, jitenge na waingize mkenge. Jifagilie, jiandalie na jifurahie. Ni wakati wako chamani na Serikalini. Kataza hata kwa kuliza fujo za hovyo za mikutano na kuhutubia kwa kujielezea. Huna haja ya kutubu!

Kula nanasi kunahitaji nafasi. Unayo nafasi bila kufosi ya kujinafasi bila wasiwasi na kutajwatajwa wewe tu. Hutubia, tumbua, kemea, kamatia, zingatia, puuzia, koromea na kagua. Ni wewe tu, usitubu!

Demokrasia huleta ghasia. Mikutano hubadili mtazamo. Giza husaidia. Giza hulinda na kuunda. Tuache bila mikutano wala mitazamo. Tukusikie na kukufuata wewe tu. Usitubu, usijipe tabu!

Mambo ya expansion joints hayo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (mapumzikoni Nairobi,Kenya)
kweli huu ni mwisho wa dunia
 
Askofu Zakary Kakobe mpuuze na hoja igeuze. Huna haja wala hoja ya kutubu kwa toba kwakuwa unatoa tiba kwa miiba ya Tanzania. Unatibu bila tabu yaliyokuwa majaribu mujarabu kwa watanzania. Usitubu!

Usijali. Tunakuombea na kukujibia. Tutamjibu kwa mbwembwe kuliko kunyoa kwa wembe hadi Askofu ajione mzembe. Tutampa majibu ya mbali na karibu hadi aulaumu utaratibu uliomsibu. Usitubu!

Jijenge, jitenge na waingize mkenge. Jifagilie, jiandalie na jifurahie. Ni wakati wako chamani na Serikalini. Kataza hata kwa kuliza fujo za hovyo za mikutano na kuhutubia kwa kujielezea. Huna haja ya kutubu!

Kula nanasi kunahitaji nafasi. Unayo nafasi bila kufosi ya kujinafasi bila wasiwasi na kutajwatajwa wewe tu. Hutubia, tumbua, kemea, kamatia, zingatia, puuzia, koromea na kagua. Ni wewe tu, usitubu!

Demokrasia huleta ghasia. Mikutano hubadili mtazamo. Giza husaidia. Giza hulinda na kuunda. Tuache bila mikutano wala mitazamo. Tukusikie na kukufuata wewe tu. Usitubu, usijipe tabu!

Mambo ya expansion joints hayo!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (mapumzikoni Nairobi,Kenya)

Mhh kumbe vichaa mko wengi,hospital I ya rufaa chato muifanye specialized kwa vichaa
 
Kwa sababu yeye anashurutisha aombewe! Na kanuni ndio hiyo, no kutubu no kuombewa.

Siku hizi kaona aibu kwenda kuomba kuombewa nasikia mungu alimwambia WE SHETANI ACHA KUNIJARIBU hivyo haendi tens kanisani
 
Kwani kamwekea bastola kichwani hadi useme kashurutishwa? Kaambiwa tu kutokana na maovu yake chungu nzima ambayo mengi Watanzania tunayafahamu fika. Sasa akiamua kusuka au kunyoa hilo ni juu yake.

Si kishatwambia kwamba ana frustrations zake? Hivyo hakuna ubaya wowote ule akiamua kutwambia kama kaamua kutubu kwa maovu yake au la.

Hivi kutubu mpaka ushurutishwe...? kakobe naye akili zimeanza kumruka...apleke stress zake huko..
 
Mr. Kigeugeu,

Unayependa kudanganya ulipo na juu ya chama unachokiabudu.. naona sikukuu hii umekula chakula ambacho hujawahi kukila kabla eeeeeh
 
" Awashinde woooote kwa nguvu , awashinde woote kwa unene , awashinde woote kwa mali , awashinde wooote kwa kukoroma etc "

Vitabu vya zamani bhana !
 
Her Excellency Mama mkubwa ana watu wengi sana wanaogombania nafasi yake, mahaba kumoyo!
 
Mafungu makubwa ya kumi kwenye visonzo(vikapu) vya sadaka yametokomea, wachungaji wa kondoo wa bwana waniona njaa inabisha hodi, magari yao makubwa yanayokunywa mafuta kama jini huku yakitegemea sadaka zetu sasa hakuna!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom