fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,066
Amebwagwa rasmi, ametumia pesa muda wote lakni zimeshindwa kumsafisha, aliweka mayai yote kwenye kikapu kimoja, sasa chali kama mende.
Maskini EL, sasa JK kaweka wazi unajipendeeza na vita ya Malawi??? Kama ulivova uPM vua hata huo unyekiti wa ulinzi na mambo ya nje vua, kimenuka. Unajitafutia umaarufu kwa Malawi???
Unatoa rushwa makanisani na miskitini, vijanawa boda boda
Nawasilisha
Maskini EL, sasa JK kaweka wazi unajipendeeza na vita ya Malawi??? Kama ulivova uPM vua hata huo unyekiti wa ulinzi na mambo ya nje vua, kimenuka. Unajitafutia umaarufu kwa Malawi???
Unatoa rushwa makanisani na miskitini, vijanawa boda boda
Nawasilisha