hivi kosa la lowasa mpaka hapo ni nini, unajua siwaelewi?
kusaidia msikitini/kanisani ni kosa? mbona hamumkamati basi, mpelekeni mahakamani kwa kutoa rushwa..ya nini mnahangaika wakati mahakama zipo, si mumpeleke?
naona lowasa anawanyima usingizi na mnajua kuwa jamaa anapendwa ndio maana..huyu jamaa hamumuwezi bora mtafute utaratibu mwingine
kusaidia msikitini/kanisani ni kosa? mbona hamumkamati basi, mpelekeni mahakamani kwa kutoa rushwa..ya nini mnahangaika wakati mahakama zipo, si mumpeleke?
naona lowasa anawanyima usingizi na mnajua kuwa jamaa anapendwa ndio maana..huyu jamaa hamumuwezi bora mtafute utaratibu mwingine