GE2025 Mwenyekiti wa TEF, Balile: Watu mtandaoni wanajizima data au sijui hamnazo? Tanzania kuna maendeleo hadi vjijini

GE2025 Mwenyekiti wa TEF, Balile: Watu mtandaoni wanajizima data au sijui hamnazo? Tanzania kuna maendeleo hadi vjijini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) akizungumza na Clouds TV leo, Septemba 29, 2025 amesema;

"Wakati tunakua miaka ya 70 hadi 80 tulikuwa tunaoga mtoni pale kijijini kwetu. Mimi natokea Bukoba Vijijini kuna kijiji kinaitwa Nyanga.

"Nina ndugu zangu wapo kijiji jirani Kilimilile walikuwa wakichota maji Mto Kagera wanapambana na mamba, wanaliwa! Lakini Leo hakuna mtu aliyepo Kilimilile anayekwenda kuteka maji Mto Kagera kwa kutumia baiskeli. Vijiji vingi sana vina maji"

"Watu sijui wanajizima data au sijui hamnazo. Ukipita kwenye vijiwe na kwenye mtandao vinavyozungumzwa kama vile hakujawahi kufanyika kitu chochote nchini, sio sawa"

get.jpg
 
Maendeleo gani unayozungumzia,

Tangu mwaka 60 mpaka leo anazungumza habari ya maji, haoni aibu?

Angesema barabara za kijiji kizima lami, tatu kushoto tatu kulia, kuna airport, housing facilities za kisasa, umeme wa uhakika kwa miaka 20 ijayo, maji saa 24/100 yrs

Nchi ina rasilimali za kutosha, waongee vitu vya maana
 
Hao waandishi wa habari ni mamluki wa CCM
Walishapewa rushwa katoka Tuzo za KALAMU
 
Hamnazo mwenyewe, asiforce tufanane, namana na sisi tuwe ng'ombe kama yeye, anaumwa nini huyu pimbi hakunaga mganga humu amtangulize fasta aisee!...
 
Tuna safari ndefu sana watanzania,utafikiri hayo maendeleo yanaletwa na pesa za kutoka mfukoni mwa mtu kunbe ni kodi za watanzania
 
Watanzania km ana unga na mchele ndani huwezi mshauri kitu
Watanzania ni kama malaya akiwa na uhakika wa kula siku iyo bas wanaume wate anawaona takataka ila sku akikosa sasa ndo atauza uchi ata kwa mihogo

Mi huwa naombe angalau tupate ukame chakula kipande bei my be akili zetu zinaweza kukaa sawa
Najua ombi langu ni baya na najua wataumia wengi ila ukwel ndo huo
 
"Watu sijui wanajizima data au sijui hamnazo. Ukipita kwenye vijiwe na kwenye mtandao vinavyozungumzwa kama vile hakujawahi kufanyika kitu chochote nchini, sio sawa"- Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
 
Majitu kama haya nchi ikishapata uhuru ni kukamata na chalaza mijeredi mpaka akili zikae sawa.

Jitu linaondekeza uchawa tu na wakati mwanza mjini hapo maji hayatoki wiki ya pili na ziwa liko mita chache tu kutoka kwenye makazi ya watu.
 
Yani hapo ni sawa na kusema zamani tulikuwa tunawasiliana kwa kwa kutumia barua na sasa hivi tunatumia simu au kwamba zamani tulikuwa tunatumia wanyama kama usafiri ila sasa hivi tunatumia magari halafu ujisifu Tanzania tumefanya maendeleo.
 
TUZO KALAMU YA MAMA NI MILIONI 10, ACH A AJITOE TU UFAHAMU.
 
Balile aendelee kunenepesha mashavu yake tu ndio wakati wake huu hayo mengine atuachie wenyewe
 
Back
Top Bottom