Mwenyekiti wa kitongoji cha Usinge Kati anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumlawiti kijana mmoja.
Mtuhumiwa na wezake walifanya kitendo hicho cha kumlawiti huyo kijana na kisha wakamshindilia miti pamoja na chupa sehemu za siri kisha kuuponda ponda uume wa huyo kijana.
Kijana huyo alipelekwa kwenye zahanati ya Usinge ambapo waliona hali inakuwa mbaya wakampeleka hospitali ya wilaya Urambo.
Kisa cha kufanya hayo yote ni inasemekana kijana huyo alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke mdogo wa mwenyekiti huyo.
Mtuhumiwa na wezake walifanya kitendo hicho cha kumlawiti huyo kijana na kisha wakamshindilia miti pamoja na chupa sehemu za siri kisha kuuponda ponda uume wa huyo kijana.
Kijana huyo alipelekwa kwenye zahanati ya Usinge ambapo waliona hali inakuwa mbaya wakampeleka hospitali ya wilaya Urambo.
Kisa cha kufanya hayo yote ni inasemekana kijana huyo alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke mdogo wa mwenyekiti huyo.